Skip to main content

Maandamano yaja kupinga bei ya umeme


RAIS Jakaya Kikwete ameshauriwa katika mchakato wa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri kumtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kujieleza kwake na umma ili kuwezesha hatua stahiki kuchukuliwa dhidi yake kutokana na ongezeko la bei ya umeme.
Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika (CHADEMA)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika (CHADEMA), Rais Kikwete anapaswa kutambua kuwa Waziri Muhongo alisema uongo kwa nyakati mbalimbali mwaka 2012 na 2013 alipowahakikishia wananchi kuwa bei ya umeme haitapanda hata baada ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuwasilisha mapendekezo ya kupandisha bei ya nishati hiyo.
Alisema kinyume na kauli za Prof. Muhongo, Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), katika kikao cha Desemba 10, mwaka jana, ilitoa maamuzi ya ongezeko la bei za umeme kwa viwango mbalimbali kwa makundi mbalimbali ya wateja, hatua ambayo itaongeza mzigo wa gharama za maisha kwa wananchi na itaathiri uchumi wa nchi.
Wakati Mnyika akisema hayo, wananchi wamependekeza kwamba iwapo mamlaka husika hazitapunguza kiwango cha ongezeko la bei ya umeme; maandamano yaandaliwe kuishinikiza serikali kuchukua hatua za haraka za kunusuru uchumi wa nchi na maisha ya wananchi kutokana na ongezeko hilo.
Mnyika ambaye ni mbunge wa Ubungo, alisema kuwa uamuzi wa kupandisha nishati hiyo ulifikiwa Oktoba 11, mwaka jana, baada ya TANESCO kuwasilisha maombi ya kurekebisha bei ya umeme kwa Ewura, iliyopendekeza kuongeza bei kwa asilimia 67.87 kuanzia Oktoba 1, mwaka jana, asilimia 12.74 kuanzia Januari 1, mwaka huu na asilimia 9.17 kuanzia Januari 1, mwaka 2015.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.