Skip to main content

MBUNGE WA TEMEKE-CCM ABBAS MTEMVU KUKISAMBARATISHA KIKUNDI CHA VIJANA TISHIO CHA MBWA MWITU TEMEKE

 Mbunge wa Jimbo la Temeke Dar es Salaam, Abbas Mtemvu akihutubia katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya Kata ya YOmbo Kilakala, leo, ambapo aliwaambia kuwa hatolifumbia mamcho  kulitokomeza kundi la  vijana la Mbwa Mwitu linalotishia usalama wa wananchi katika kata hiyo.Kutoka kulia mstari wa mbele ni Diwani wa Viti Maalumu, Wilaya ya Temeke, Mariam Mtemvu. Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Temeke, Rutami  Mabunu,  Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kilakala  na Shomari Lyoto ambaye ni Katibu wa Kata hiyo. PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Kada wa CCM, Mwishehe Kilakala akijitambulisha katika mkutano huo.
 Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Kata ya Yombo Kilakala wakiwa katika mkutano huo
 Ofisa Mtendaji wa Kata ya Yombo Kilakala, Peter Makoye akitoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho. Kiasi kikubwa cha taarifa hiyo ilikataliwa na wajumbe kwamba haikuwa ya kweli.
 Camillius Haule  ambaye ni Katibu wa Uenezi wa Mtaa wa Kiembe Samaki, akielezea jinsi vijana wahalifu wanaoojiita Mbwa Mwiti wanavyotishia usalama wa wananchi katika kata hiyo.
 Mjumbe wa Kamati ya Mipango Kata ya Yombo Kilakala, Nasir Kinyogoli, akielezea ubadhilifu wa fedha za Ukimwi na Vicoba katika Kata hiyo.
 Asmah Zitiakielezea tatizo la walimu katika Shule ya Msingi Kigunga kuwachapa viboko wanafunzi kwa kukosa fedha za kulipia Tuisheni.
Katibu wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), Kata ya Yombo Kilakala,FatumaMgendo akielezea masikitiko  kuhusu kitendo cha walimu wa Shule ya Msingi kwachapa viboko wanafunzi kwa kukosa hela ya kulipia tuisheni.Chanzo http://haki-hakingowi.blogspot.com/

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.