Kiungo wa Hull City Tom Huddlestone
ametimiza ahadi yake ya kunyoa nywele zake iwapo angefunga bao baada
kukaa miaka miwili na nusu bila kufunga,kiungo huyo aliifungia timu yake
bao moja kwenye mchezo ambao timu yake iliifunga Fulham mabao 6-0.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu






Inatoka ttp://www.shaffihdauda.com/
Comments