Aliyekuwa
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto
Kabwe (kulia) akitoka katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam
leo, ambapo aliwasilisha ombi la pingamizi la yeye kutojadiliwa kwenye
kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kinachotarajia kufanyika kesho, hadi
rufaa yake ya kupinga kuenguliwa wadhifa huo kwenye Baraza Kuu la chama
hicho. Kushoto ni Wakili wa Zitto, Albert Msando. Mahakama Kuu
imekubaliana na Zitto Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachotarajiwa
kufanyika kesho kutomjadili kwa namna yoyote.PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO
BLOG
Zitto Kabwe akiingia mahakama Kuu Dar es Salaam leo
Wanasheria wa Chadema, Tundu Lisu (kushoto) na Peter Kibatala waliofika kupinga hoja hiyo mahakamani.
Tundu Lisu na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wakijadiliana jambo wakati wakisubiri uamuzi wa mahakama
Zitto
ana wakili wake Msando wakiwasiliana na marafiki zao walipokuwa
wakisubili uamuzi wa mahakama, ambapo Zitto aliibuka dedea kwa pingamizi
lake kukubaliwa hivyo kikao cha Kamati Kuu kinachofanyika kesho
kukatazwa kumjadili kwa namna yoyote Zitto.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments