Skip to main content

MABOMU TENA: WANAKWAYA 6 WALIPULIWA BOMU ARUSHA


Arusha
Wanakwaya sita, waumini wa kanisa katoliki parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, wamelazwa katika Hospitali ya Mission na Tengeru,wilayani Arumeru baada ya kujeruhiwa vibaya kwa bomu linalodaiwa kurushwa na askari polisi muda mfupi baada ya kutoka kanisani kwenye mkesha wa mwaka mpya.

PICHA KULIA : 
Askofu Josephat Lebulu wa jimbo kuu katoliki la Arusha akiangalia kwa uchungu baadhi ya vipande vya bomu baada ya kutolewa kwa baadhi ya majeruhi waliolazwa katika hospital ya Misheni, USA RIVER jana.

Tukio hilo limetokea juzi majira saa 6.30 mita 100 kutoka katika kanisa hilo, eneo la Kisangani, ambapo waumini mbalimbali walikuwa wakielekea majumbani kwao baada ya kumalizika kwa misa ya mkesha.

Mganga msaidizi katika hospitali ya misheni,iliyopo chini ya kanisa hilo, Fredrick Mathew amethibitisha kupokea majeruhi watano, huku wawili wakiwa kwenye hali mbaya na wengine wakiendelea vizuri.

Aliwataja maheruhi hao waliolazwa hospitalia ya mission kuwa ni bi,Theresia Lesitare (33),bw Philipo Ambrose (22),bw Alphonce Nyigo (19)bi Mary Merikiory Kwai (40) na bi Anna Mathew (19) wote wakazi wa Lake Tatu, Usariver.

Majeruhi mwingine ambaye hali yake sio nzuri, bi Annet Baltazar (16) amelazwa hospitali ya Tengeru.

PICHA KUSHOTO: 
Mwanakwaya ,bi Anna Methew akiwa amelazwa katika hospital ya misheni baada ya kujeruhiwa miguuni na mapajani na kushonwa nyuzi kadhaa.

Alisema majeruhi hao waliumia sehemu za miguu na mapajani kwa kuchanwa chanwa na mlipuko wa bomu na baadhi ya vipande vya bomu vikitolewa kwenye miili yao na baadhi yao kushonwa kwa nyuzi kadhaa.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alithibitisha kupata taarifa za tukio hilo na kueleza kwamba uchunguzi wa tukio hilo umeanza mara moja na taarifa ya uchunguzi ataitoa baada ya kukamilika.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...