Skip to main content

MABOMU TENA: WANAKWAYA 6 WALIPULIWA BOMU ARUSHA


Arusha
Wanakwaya sita, waumini wa kanisa katoliki parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, wamelazwa katika Hospitali ya Mission na Tengeru,wilayani Arumeru baada ya kujeruhiwa vibaya kwa bomu linalodaiwa kurushwa na askari polisi muda mfupi baada ya kutoka kanisani kwenye mkesha wa mwaka mpya.

PICHA KULIA : 
Askofu Josephat Lebulu wa jimbo kuu katoliki la Arusha akiangalia kwa uchungu baadhi ya vipande vya bomu baada ya kutolewa kwa baadhi ya majeruhi waliolazwa katika hospital ya Misheni, USA RIVER jana.

Tukio hilo limetokea juzi majira saa 6.30 mita 100 kutoka katika kanisa hilo, eneo la Kisangani, ambapo waumini mbalimbali walikuwa wakielekea majumbani kwao baada ya kumalizika kwa misa ya mkesha.

Mganga msaidizi katika hospitali ya misheni,iliyopo chini ya kanisa hilo, Fredrick Mathew amethibitisha kupokea majeruhi watano, huku wawili wakiwa kwenye hali mbaya na wengine wakiendelea vizuri.

Aliwataja maheruhi hao waliolazwa hospitalia ya mission kuwa ni bi,Theresia Lesitare (33),bw Philipo Ambrose (22),bw Alphonce Nyigo (19)bi Mary Merikiory Kwai (40) na bi Anna Mathew (19) wote wakazi wa Lake Tatu, Usariver.

Majeruhi mwingine ambaye hali yake sio nzuri, bi Annet Baltazar (16) amelazwa hospitali ya Tengeru.

PICHA KUSHOTO: 
Mwanakwaya ,bi Anna Methew akiwa amelazwa katika hospital ya misheni baada ya kujeruhiwa miguuni na mapajani na kushonwa nyuzi kadhaa.

Alisema majeruhi hao waliumia sehemu za miguu na mapajani kwa kuchanwa chanwa na mlipuko wa bomu na baadhi ya vipande vya bomu vikitolewa kwenye miili yao na baadhi yao kushonwa kwa nyuzi kadhaa.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alithibitisha kupata taarifa za tukio hilo na kueleza kwamba uchunguzi wa tukio hilo umeanza mara moja na taarifa ya uchunguzi ataitoa baada ya kukamilika.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.