Skip to main content

KUONA SIMBA VS MTIBWA SH.5000


MABINGWA wa michuano ya mtani Jembe, timu ya Simba,
kesho inashuka katika Uwanja wa Taifa kuvaana na timu ya
Mtibwa Sugar, huku kiingilio cha chini kikiwa sh.5000.
Mchezo huo utakaoanza saa 10 jioni, ukiwa wa kirafiki,
kwa ajili ya kuziweka timu hizo sawa kabla ya kuanza kwa
Ligi Kuu tanzania Bara, inayoanza kutimua vumbi wiki
ijayo.


Simba inaingia dimbani ikiwa inatoka kwenye mashindano
ya Mapinduzi, ambapo Simba ilichukua ushindi wa pili.
Katika mchezo huo Simba iliyopo chini ya kocha Zdravko
Logarusic akisaidiana na Suleiman Matola, imepanga
kutumia wachezaji wake, wote ili kiwe kipimo tosha kabla
ya Ligi Kuu.
Timu hiyo inayoshika nafasi ya nne katika msimamo wa
Ligi, imejipanga kuhakikisha inavuka mpaka nafasi ya
kwanza huku kocha wao Logarusic, akisema ana uhakika
kikosi chake kitaibuka na ushindi.


Logarusic, alisema kuwa mchezo huo ni moja ya mtihani
wake wa kutambua kikosi chake, kabla ya kuanza kwa ligi
kuu.
Alisema ameambiwa kuwa Mtibwa Sugar, ni moja ya timu
nzuri hivyo anajua kwake ni kipimo kizuri.
"Nina amini mchezo wetu na Mtibwa Sugar, utakuwa mzuri
, kutokana na ubora wa timu hiyo, ninajua itasaidia timu
yangu kupata mazoezi mazuri"alisema Logarusic.
Nae kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime, alisema ana
amini mchezo huo utakuwa mzuri kwake kutokana na
wapinzani wao kutoka katika mashindano.
Mexime alisema kuwa amepata nafasi ya kucheza na timu
kubwa, ambayo itampa mazoezi mazuri.
"Nina amini mchezo huo utakuwa mzuri kwangu kwa kuwa
nacheza na timu kubwa ambayo imetoka kwenye
mashindano"alisema Mexime.
Katika mchezo huo viingilio vitakuwa shilingi 20,000 VIP A,
shilingi 10,000 katika VIP B, wakati VIP C itakuwa shilingi
7,000 na sehemu ya viti vya orange na bluu itakuwa shilingi 5000.Chanzo http://www.shaffihdauda.com/

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.