Skip to main content

KUONA SIMBA VS MTIBWA SH.5000


MABINGWA wa michuano ya mtani Jembe, timu ya Simba,
kesho inashuka katika Uwanja wa Taifa kuvaana na timu ya
Mtibwa Sugar, huku kiingilio cha chini kikiwa sh.5000.
Mchezo huo utakaoanza saa 10 jioni, ukiwa wa kirafiki,
kwa ajili ya kuziweka timu hizo sawa kabla ya kuanza kwa
Ligi Kuu tanzania Bara, inayoanza kutimua vumbi wiki
ijayo.


Simba inaingia dimbani ikiwa inatoka kwenye mashindano
ya Mapinduzi, ambapo Simba ilichukua ushindi wa pili.
Katika mchezo huo Simba iliyopo chini ya kocha Zdravko
Logarusic akisaidiana na Suleiman Matola, imepanga
kutumia wachezaji wake, wote ili kiwe kipimo tosha kabla
ya Ligi Kuu.
Timu hiyo inayoshika nafasi ya nne katika msimamo wa
Ligi, imejipanga kuhakikisha inavuka mpaka nafasi ya
kwanza huku kocha wao Logarusic, akisema ana uhakika
kikosi chake kitaibuka na ushindi.


Logarusic, alisema kuwa mchezo huo ni moja ya mtihani
wake wa kutambua kikosi chake, kabla ya kuanza kwa ligi
kuu.
Alisema ameambiwa kuwa Mtibwa Sugar, ni moja ya timu
nzuri hivyo anajua kwake ni kipimo kizuri.
"Nina amini mchezo wetu na Mtibwa Sugar, utakuwa mzuri
, kutokana na ubora wa timu hiyo, ninajua itasaidia timu
yangu kupata mazoezi mazuri"alisema Logarusic.
Nae kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime, alisema ana
amini mchezo huo utakuwa mzuri kwake kutokana na
wapinzani wao kutoka katika mashindano.
Mexime alisema kuwa amepata nafasi ya kucheza na timu
kubwa, ambayo itampa mazoezi mazuri.
"Nina amini mchezo huo utakuwa mzuri kwangu kwa kuwa
nacheza na timu kubwa ambayo imetoka kwenye
mashindano"alisema Mexime.
Katika mchezo huo viingilio vitakuwa shilingi 20,000 VIP A,
shilingi 10,000 katika VIP B, wakati VIP C itakuwa shilingi
7,000 na sehemu ya viti vya orange na bluu itakuwa shilingi 5000.Chanzo http://www.shaffihdauda.com/

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...