Skip to main content

Zanzibar inahitaji kulinda mafanikio yaliyopatikana kutokomeza Malaria


Na Hassan Hamad OMKR
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema Zanzibar inahitaji kujipanga ili kulinda mafanikio yaliyopatikana kutokana na mradi wa kutokomeza malaria Zanzibar.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na watendaji wa kitengo cha malaria Mwanakwerekwe wakati wa ziara yake katika kitengo hicho. Kushoto ni msaidizi meneja wa kitengo cha Malaria Zanzibar Bw. Mwinyi Msellem. (picha, Salmin Said, OMKR)
Amesema mafanikio yalipatikana yameiletea sifa kubwa Zanzibar, hali inayopelekea kuigwa na nchi nyengine duniani.
Maalim Seif ameeleza hayo katika kitengo cha kudhibiti malaria Zanzibar huko Mwanakwerekwe, akiwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kutembelea taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya kwa upande wa Unguja.
Amesema mafanikio hayo yanapaswa kulindwa na kuhakikisha kuwa malengo yaliyotarajiwa ya kuifanya Zanzibar bila ya kuwa na Malaria yanafikiwa kwa wakati.
“Nataka hapa tulipofika tusirudi nyuma, serikali kwa upande wake itajitahidi kuweka mikakati ili kuona kuona kuwa tunasonga mbele hadi kutimiza malengo yetu”, alisistiza Maalim Seif.
Kwa upande wake msaidizi meneja wa kitengo cha Malaria Zanzibar Bw. Mwinyi Msellem amesema Zanzibar imepata mafanikio makubwa ya kupambana na malaria katika kipindi cha miaka kumi iliyopita ambapo kwa sasa ugonjwa huo upo chini ya asilimia moja kutoka asilimia 45 mwaka 2001.
Amesema mafanikio hayo yamepatikana kutokana na mchango mkubwa wa washirika wa maendeleo, pamoja na mipango imara ya taasisi hiyo ikiwemo ugawaji wa vyandarua vyenye dawa, utiaji wa dawa za kuulia mbu wa malaria majumbani pamoja kufuatilia kwa karibu wagonjwa wanaougua malaria ili kuwapatia matibabu yanayostahiki.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...