Skip to main content

Na Gazeti la Mwananchi: Kampeni kali yaanza dhidi ya Kenyatta, Ruto


Ruto anataka asilimia 50 ya nyadhifa hizo na amemwambia Kenyatta kwamba atagawa nyadhifa zilizosalia na vyama vingine katika muungano huo kama vile New Ford Kenya ya Eugene Wamalwa na Narc ya Charity Ngilu.
MGOMBEA Urais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amekuwa katika ziara zisizokoma za nchi za Afrika Mashariki kwa lengo la kutafuta uungwaji mkono wa marais wa nchi hizo.
Tayari amekutana na kufanya mashauriano na viongozi wa Tanzania, Burundi, Sudan Kusini miongoni mwa wengine, na bado anaendelea na ziara hizo.
Huku nyumbani, baadhi ya viongozi na wagombea wa urais kama vile Naibu Waziri Mkuu, Musalia Mudavadi na Martha Karua wanatoa onyo kali na ushauri kwa Wakenya wasidhubutu kuwachagua washukiwa hao wasije wakajuta.
Mudavadi anasema kwamba Wakenya wakifanya makosa ya kuwapa Kenyatta na William Ruto jukumu la kuwaongoza, nchi itakuwa katika mashaka makubwa katika nyanja za kiuchumi na kisiasa ulimwenguni. Kiongozi huyu hapo awali alikuwa akiunga mkono wawili hao na hata kuwaambia Wakenya kuwa mzigo wanaobeba viongozi hao katika Mahakama Kuu ya Kimataifa ya ICC huko The Hague, Uholanzi, ni mzigo wa Wakenya wote.
Makamu wa Rais, Kalonzo Musyoka kwa kuwa bado anatarajia kwamba kuna uwezekano wa kuwa katika muungano na washukiwa hao, haswa Ruto, hataki kamwe kugusia suala hili. Juzi, katika mkutano wa kisiasa, aliukejeli muungano ambao sasa unayumbayumba kati ya Kenyatta na Ruto. Mazungumzo ya muungano kati ya viongozi hao wawili yamepigwa na dhoruba kali kwa sababu hawajakubaliana kuhusu nyadhifa za mawaziri na maspika wa Bunge na Seneti.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...