Skip to main content

TIGO YA KWANZA KUTOA VIFAA VYA NISHATI YA JUA KWA AJILI YA KUCHAJIA SIMU

Tanzania ina idadi kubwa ya watu ambao hawana njia ya moja kwa moja ya kupata umeme, wakati asilimia 50 ya watanzania wanamiliki simu za mkononi. Ili kuchaji simu zao inawalazimu kwenda kwa watu wao wa karibu kama vile ndugu, jamaa, marafiki au wakati mwingine kwenye vibanda na madukani.

Ofisa Masoko wa kampuni ya Tigo Jacqeuline Nnunduma (kushoto) na Meneja Mradi wa Kampuni hiyo, Yaya N'dojere pamoja na Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Tigo, Mariamu Mlangwa wakionesha kifaa cha solar kinavyoweza kufanya kazi ya kuchajishia simu kwa njia ya nishati ya jua.

Kwa vile asilimia kubwa ya watu hawa ni wateja wa Tigo, tumeamua kuyapa maduka yetu vifaaa vya nishati ya jua vyenye uwezo wa kuchaji simu. Kwa njia hii mteja wa Tigo kamwe hatakuwa na tatizo la simu yake kuishiwa chaji kwa ajili ya kukosa umeme.

Kwa wateja wa Tigo ambao wanaishi mbali na vyanzo vya umeme, huduma hii bunifu inarahisisha na kufanya upatikanaji wa bidhaa za Tigo uwe rahisi, pamoja na kuwapa wateja nishati rafiki na endelevu, kwa ajili ya matumizi yao ya kila siku .

Kwa kupitia vifaa vya nishati ya jua ambavyo vitakuwa vikipatikana katika maduka ya Tigo, Tigo inaendelea kuwajali wateja wake ambao wanaendesha maisha na hata biashara zao katika maeneo yasiyo na umeme. Wateja watalipia kiasi nafuu cha shilingi 300 kila watakapohitaji kuchaji simu zao.

Kwa wamiliki wa maduka hayo ya Tigo, Tigo inatoa huduma za teknolojia mpya katika soko la Tanzania ili kuwasaidia wajasiriamali kupanua biashara zao na halikadhalika inaongeza kipato chao.

Wanaohitaji kujisajili kwa ajili ya vifaa wanaweza kutuma barua pepe solar@tigo.co.tz. Kigezo kinachohitajika ni kutokuwepo kwa umeme kwenye eneo husika au muhusika awe anauza chaji za simu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.