Skip to main content

TIGO YA KWANZA KUTOA VIFAA VYA NISHATI YA JUA KWA AJILI YA KUCHAJIA SIMU

Tanzania ina idadi kubwa ya watu ambao hawana njia ya moja kwa moja ya kupata umeme, wakati asilimia 50 ya watanzania wanamiliki simu za mkononi. Ili kuchaji simu zao inawalazimu kwenda kwa watu wao wa karibu kama vile ndugu, jamaa, marafiki au wakati mwingine kwenye vibanda na madukani.

Ofisa Masoko wa kampuni ya Tigo Jacqeuline Nnunduma (kushoto) na Meneja Mradi wa Kampuni hiyo, Yaya N'dojere pamoja na Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Tigo, Mariamu Mlangwa wakionesha kifaa cha solar kinavyoweza kufanya kazi ya kuchajishia simu kwa njia ya nishati ya jua.

Kwa vile asilimia kubwa ya watu hawa ni wateja wa Tigo, tumeamua kuyapa maduka yetu vifaaa vya nishati ya jua vyenye uwezo wa kuchaji simu. Kwa njia hii mteja wa Tigo kamwe hatakuwa na tatizo la simu yake kuishiwa chaji kwa ajili ya kukosa umeme.

Kwa wateja wa Tigo ambao wanaishi mbali na vyanzo vya umeme, huduma hii bunifu inarahisisha na kufanya upatikanaji wa bidhaa za Tigo uwe rahisi, pamoja na kuwapa wateja nishati rafiki na endelevu, kwa ajili ya matumizi yao ya kila siku .

Kwa kupitia vifaa vya nishati ya jua ambavyo vitakuwa vikipatikana katika maduka ya Tigo, Tigo inaendelea kuwajali wateja wake ambao wanaendesha maisha na hata biashara zao katika maeneo yasiyo na umeme. Wateja watalipia kiasi nafuu cha shilingi 300 kila watakapohitaji kuchaji simu zao.

Kwa wamiliki wa maduka hayo ya Tigo, Tigo inatoa huduma za teknolojia mpya katika soko la Tanzania ili kuwasaidia wajasiriamali kupanua biashara zao na halikadhalika inaongeza kipato chao.

Wanaohitaji kujisajili kwa ajili ya vifaa wanaweza kutuma barua pepe solar@tigo.co.tz. Kigezo kinachohitajika ni kutokuwepo kwa umeme kwenye eneo husika au muhusika awe anauza chaji za simu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...