Skip to main content

VIONGOZI WA UWAMSHO WAPUNGUZIWA MASHARTI YA DHAMANA


 
Mahakama ya Wilaya ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar leo imepunguza masharti ya dhamana kwa Viongozi saba wa Jumuiya mbili za Kiislamu Zanzibar, wanaokabiliwa na mashtaka ya kusababisha vurugu na kupelekea uharibifu wa miundombinu ya barabara mjini Zanzibar, leo tena wameshindwa kupata dhamana.
 Afisa Habari Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar Inspekta Mohammed Mhina, amesema kuwa uwamuzi huo umetolewa na Hakimu wa Mahakama hiyo Mh. Ame Pinja, baada ya kukubali maombi ya Mawakili wa Watuhumiwa waliomba kupunguzwa kwa masharti hayo kwa wateja wao.
 Watuhumiwa hao ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maimam ZanzibarSheike Farid Hadi Ahamed na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Uamsho Sheikhe Mselem Ali Mselemu na wenzao watano.
 Inspekta Mhina amesema kuwa kutokana na uwamuzi huo, kila mshitakiwa sasa atatakiwa kuwa na wadhaminiwa wawili ambao ni watumishi wa Serikali na kwa kila mmoja awe na kiasi cha shilingi 500,000 tofauti na mashrti ya awali ya wadhamini watatu na kwa kila mmoja kwa kiasi cha shilingi milioni moja kwa kila mmoja.
 Hata hivyo pamoja na kupunguzwa kwa masharti hayo, hakuna hata mshitakiwa mmoja aliyedhaminiwa kutokana na kukosekana kwa wadhamini ambao ni watumishi wa serikali.
 Inspekta Mhina amesema kuwa Watuhumiwa hao ambao wanakabiliwa na kesi tatu tofauti za kuzusha ghasia na kupelekea vurugu katika maeneo mbalimbali ya mji wa Zanzibar, wamerudishwa rumande hadi desemba 4, mwaka huu kesi yao itakapotajwa tena.
 Amesema wakati wote mahakama hiyo ikiiendelea, hali ya ulinzi nje na ndani ya Mahamakama uliimarishwa vya kutosha ambapo Makachero wa Jeshi la Polisi pamoja na Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia na wale wa vikosi.vya Ulinzi vya Zanzibar.Chanzo:fullshangweblog

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.