Skip to main content

Utiaji Saini Makubaliano Ya Mwanzo SMZ Na WIPO




Na: Habari Maelezo Zanzibar 07/11/2012

 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ametiliana saini makubalianao ya mwanzo (Memorandum of Understanding )na Jumuiya ya Kimataifa ya Kuhifadhi Haki Miliki(world intellectual property organization –wipo)) juu ya kuanzisha nembo yake kwa zao la karafuu na mengine. 

Kwa upande wa Zanzibar ulitiwa sainai na Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Ahmed Nassor Mazrui na kwa upande wa WIPO ulitiwa saini na mwakilishi wake Neema Nyerere na mwakilishi wa Kituo cha Kimataifa cha Biashara ( ITC) Jacky Charbonneau.

 Akizungumza kwenye hafla hiyo Waziri wa Biashara amesema kuwa Zanzibar itafaidika sana katika mpango huo kwani utaweza kulinda zao lake la karafuu na pia kuitangaza Zazibar katika Ulimwengu. 

Amesema kuwa na Nembo ya kibiashara kutaweka hadhi ya mazao yetu katika soko la Dunia na nchi nyengine na pia kukinga nchi nyengine kutumia mazo yetu kwa njia zisizo halali.

 Aliwahakikishia uwajibikaji wa serikali ya mapinduzi Zanzibar juu ya suala hilo ili kuona kwamba linafanikiwa na kwamba yale malengo yaliliyowekwa ya kiutaalam, kiufundi na kisayansi yanafanikiwa.

 Kuingia katika jumuiya hiyo hatua kadhaa zinahitajika kuchukuliwa katika zao zima la karafuu kuanzia ukulima wake, ukaushaji, uhifadhi mapaka usafirishaji wake ili kuona kwamba kiwango chake hakipungui na kuleta athari katika masoko.

 Hivyo alisema ni muhimu kwa wakulima wataalam wa kilimo wa zao la karafuu na mazao mengine kupata taaluma ya kutosha katika uzalishaji wa mazao hasa hayo ya viungo. Amesisitiza kwamba wakati umefika wa kufanya mapinduzi ya zao la karafuu na kuachana na njia zisizo sahihi za uwanikaji na utunzaji wa zao hilo.

 Mapema mwakilishi wa WIPO Neema Nyerere alizitaka Bodi za Viwango Zanzibar kuwa makini katika kupasisha Bidhaa kwani bila ya bidhaa kuwa na viwango vinavyotakiwa kimataifa hakutaweza kulinda soko na kudumisha sifa ya bidhaa yenyewe na nchi pia. Hivyo alizitaka Taasisi hizo kufanya kazi kwa ufanisi zaidi ili malengo yaliowekwa yaweze kufikiwa. 

 IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR 07/11/2012

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...