Skip to main content

Utiaji Saini Makubaliano Ya Mwanzo SMZ Na WIPO




Na: Habari Maelezo Zanzibar 07/11/2012

 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ametiliana saini makubalianao ya mwanzo (Memorandum of Understanding )na Jumuiya ya Kimataifa ya Kuhifadhi Haki Miliki(world intellectual property organization –wipo)) juu ya kuanzisha nembo yake kwa zao la karafuu na mengine. 

Kwa upande wa Zanzibar ulitiwa sainai na Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Ahmed Nassor Mazrui na kwa upande wa WIPO ulitiwa saini na mwakilishi wake Neema Nyerere na mwakilishi wa Kituo cha Kimataifa cha Biashara ( ITC) Jacky Charbonneau.

 Akizungumza kwenye hafla hiyo Waziri wa Biashara amesema kuwa Zanzibar itafaidika sana katika mpango huo kwani utaweza kulinda zao lake la karafuu na pia kuitangaza Zazibar katika Ulimwengu. 

Amesema kuwa na Nembo ya kibiashara kutaweka hadhi ya mazao yetu katika soko la Dunia na nchi nyengine na pia kukinga nchi nyengine kutumia mazo yetu kwa njia zisizo halali.

 Aliwahakikishia uwajibikaji wa serikali ya mapinduzi Zanzibar juu ya suala hilo ili kuona kwamba linafanikiwa na kwamba yale malengo yaliliyowekwa ya kiutaalam, kiufundi na kisayansi yanafanikiwa.

 Kuingia katika jumuiya hiyo hatua kadhaa zinahitajika kuchukuliwa katika zao zima la karafuu kuanzia ukulima wake, ukaushaji, uhifadhi mapaka usafirishaji wake ili kuona kwamba kiwango chake hakipungui na kuleta athari katika masoko.

 Hivyo alisema ni muhimu kwa wakulima wataalam wa kilimo wa zao la karafuu na mazao mengine kupata taaluma ya kutosha katika uzalishaji wa mazao hasa hayo ya viungo. Amesisitiza kwamba wakati umefika wa kufanya mapinduzi ya zao la karafuu na kuachana na njia zisizo sahihi za uwanikaji na utunzaji wa zao hilo.

 Mapema mwakilishi wa WIPO Neema Nyerere alizitaka Bodi za Viwango Zanzibar kuwa makini katika kupasisha Bidhaa kwani bila ya bidhaa kuwa na viwango vinavyotakiwa kimataifa hakutaweza kulinda soko na kudumisha sifa ya bidhaa yenyewe na nchi pia. Hivyo alizitaka Taasisi hizo kufanya kazi kwa ufanisi zaidi ili malengo yaliowekwa yaweze kufikiwa. 

 IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR 07/11/2012

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.