Skip to main content

Hamad Rashid (Mb) aonja kero ya kukaa kwenye foleni ya mafuta saa 4!


Uhaba wa mafuta ya petroli na dizeli ambao umeendelea kuukumba mji wa Iringa kwa zaidi ya siku tano sasa, umeendelea kuwatesa wananchi wa kada mbalimbali ambapo jana, Mbunge wa jimbo la Wawi katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ameonja keor hiyo baada ya kuingia mjini Iringa na kujikuta akisota kwa zaidi ya saa nne katika foleni ya kusubiri kununua mafuta katika kituo cha kimoja wapo kilichokuwa kikiuza mafuta katika eneo la Ipogolo.
  
Hamad Rashid (katikati) akitazama picha katika iPad yake alizopiga foleni hiyo ya mafuta mjini Iringa leo
Mbunge Hamad alikuwa safarini kutokea mkoani Morogoro akielekea Mafinga wilaya ya Mufindi ameieleza francisgodwin blog kuwa serikali inapaswa kuangalia uwezekano wa kutatua tatizo hilo la uhaba wa mafuta hapa nchini vinginevyo uchumi wa nchi utaendelea kuyumba zaidi.
Picture
Francis Godwin (kofia nyekundu) akihojiana na Mhe. Hamad huko Iringa jana.
Amesema kuwa kitendo cha wananchi kushinda katika foleni kwa saa zaidi ya sita wakisubiri kununua mafuta katika kituo hicho ni sawa na wananchi hao kupoteza muda wa kuzalisha, hivyo Serikali iliyopo madarakani inapaswa kushughulikia tatizo hilo ambalo linasababishwa na waagizaji wakubwa wa mafuta hapa nchini.
Mbunge huyo alisema alifika katika foleni hiyo majira ya saa 8 mchana na kufanikiwa kununua mafuta saa 12 jioni.
  
Mbali ya uhaba huo wa mafuta, uchunguzi uliofanywa na Francis Godwin umebaini kuwa baadhi ya vijana walikuwa wakishirikiana na wafanyakazi wa vituo hivyo vya mafuta kwa kununua mafuta na kujaza katika mapipa na kupakia katika magari na kwenda kuyauza kwa bei kubwa zaidi mjini Iringa.
Foleni ya mafuta leo huku baadhi wakifanya hujuma kwa kununua kwa bei ya kawaida na kwenda kuuza kwa bei kubwa

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.