Skip to main content

Hamad Rashid (Mb) aonja kero ya kukaa kwenye foleni ya mafuta saa 4!


Uhaba wa mafuta ya petroli na dizeli ambao umeendelea kuukumba mji wa Iringa kwa zaidi ya siku tano sasa, umeendelea kuwatesa wananchi wa kada mbalimbali ambapo jana, Mbunge wa jimbo la Wawi katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ameonja keor hiyo baada ya kuingia mjini Iringa na kujikuta akisota kwa zaidi ya saa nne katika foleni ya kusubiri kununua mafuta katika kituo cha kimoja wapo kilichokuwa kikiuza mafuta katika eneo la Ipogolo.
  
Hamad Rashid (katikati) akitazama picha katika iPad yake alizopiga foleni hiyo ya mafuta mjini Iringa leo
Mbunge Hamad alikuwa safarini kutokea mkoani Morogoro akielekea Mafinga wilaya ya Mufindi ameieleza francisgodwin blog kuwa serikali inapaswa kuangalia uwezekano wa kutatua tatizo hilo la uhaba wa mafuta hapa nchini vinginevyo uchumi wa nchi utaendelea kuyumba zaidi.
Picture
Francis Godwin (kofia nyekundu) akihojiana na Mhe. Hamad huko Iringa jana.
Amesema kuwa kitendo cha wananchi kushinda katika foleni kwa saa zaidi ya sita wakisubiri kununua mafuta katika kituo hicho ni sawa na wananchi hao kupoteza muda wa kuzalisha, hivyo Serikali iliyopo madarakani inapaswa kushughulikia tatizo hilo ambalo linasababishwa na waagizaji wakubwa wa mafuta hapa nchini.
Mbunge huyo alisema alifika katika foleni hiyo majira ya saa 8 mchana na kufanikiwa kununua mafuta saa 12 jioni.
  
Mbali ya uhaba huo wa mafuta, uchunguzi uliofanywa na Francis Godwin umebaini kuwa baadhi ya vijana walikuwa wakishirikiana na wafanyakazi wa vituo hivyo vya mafuta kwa kununua mafuta na kujaza katika mapipa na kupakia katika magari na kwenda kuyauza kwa bei kubwa zaidi mjini Iringa.
Foleni ya mafuta leo huku baadhi wakifanya hujuma kwa kununua kwa bei ya kawaida na kwenda kuuza kwa bei kubwa

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...