Skip to main content

UWANJA WA KAUNDA KUWA KAMA WA TAIFA






KLABU ya Yanga imetia saini mkataba wa awali wa kuanza kwa ujenzi wa Uwanja wa Kaunda uliopo mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam.
Mkataba huo ulitiwa saini jana makao makuu ya Yanga, kati ya Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji na Kampuni ya Beijing Construction.
Akizngumza baada ya kutia saini mkataba huo, Manji alisema hatua hiyo ni mwanzo wa uongozi wake kutekeleza ahadi zake tangu ulipoingia madarakani Julai 15 mwaka huu.
"Leo tuna furaha kubwa kutia saini mkataba huu na wenzetu wa Beijing Construction ya China. Kamati ya utendaji tutahakikisha ujenzi unaanza kama
ilivyopangwa,"alisema.
Alisema taarifa za awali zimependekeza ujenzi wa uwanja huo kuanza baada ya miezi sita na kwamba uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 30,000 na 40,000 na utakuwa na hoteli.
Manji alisema baada ya ujenzi wa uwanja huo kukamilika, wataelekeza nguvu zao katika jengo lingine la klabu hiyo lililopo mtaa wa Mafia, Dar es Salaam.
Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa, wanachama wanapaswa kufahamu kuwa,
uwanja huo hauwezi kujengwa na mtu mmoja kwa kuwa Yanga ni klabu yenye historia kubwa Afrika.
Kaimu Meneja wa Beijing Construction, David Zhong aliwataka wanachama na mashabiki wa Yanga watarajie ujenzi bora wa uwanja huo.
David alisema kampuni yake ina uzoefu wa kutosha katika masuala ya ujenzi na alitoa mfano wa ujenzi wa uwanja wa Taifa na Uhuru.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...