Skip to main content

UWANJA WA KAUNDA KUWA KAMA WA TAIFA






KLABU ya Yanga imetia saini mkataba wa awali wa kuanza kwa ujenzi wa Uwanja wa Kaunda uliopo mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam.
Mkataba huo ulitiwa saini jana makao makuu ya Yanga, kati ya Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji na Kampuni ya Beijing Construction.
Akizngumza baada ya kutia saini mkataba huo, Manji alisema hatua hiyo ni mwanzo wa uongozi wake kutekeleza ahadi zake tangu ulipoingia madarakani Julai 15 mwaka huu.
"Leo tuna furaha kubwa kutia saini mkataba huu na wenzetu wa Beijing Construction ya China. Kamati ya utendaji tutahakikisha ujenzi unaanza kama
ilivyopangwa,"alisema.
Alisema taarifa za awali zimependekeza ujenzi wa uwanja huo kuanza baada ya miezi sita na kwamba uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 30,000 na 40,000 na utakuwa na hoteli.
Manji alisema baada ya ujenzi wa uwanja huo kukamilika, wataelekeza nguvu zao katika jengo lingine la klabu hiyo lililopo mtaa wa Mafia, Dar es Salaam.
Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa, wanachama wanapaswa kufahamu kuwa,
uwanja huo hauwezi kujengwa na mtu mmoja kwa kuwa Yanga ni klabu yenye historia kubwa Afrika.
Kaimu Meneja wa Beijing Construction, David Zhong aliwataka wanachama na mashabiki wa Yanga watarajie ujenzi bora wa uwanja huo.
David alisema kampuni yake ina uzoefu wa kutosha katika masuala ya ujenzi na alitoa mfano wa ujenzi wa uwanja wa Taifa na Uhuru.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.