Skip to main content

Wakazi wasaidia kusafisha mabaki ya al-Shabaab Mogadishu


By Majid Ahmed, Mogadishu
Wakazi wa Mogadishu wanafanya jukumu kubwa katika usafishaji wa mabaki ya al-Shabaab katika mji mkuu, maofisa wa usalama wa Somalia wamesema.
Washukiwa wa Al-Shabaab wakipanda katika gari ndogo ya wazi ya polisi tarehe 10 Oktoba, mwaka 2012 katika kituo cha polisi huko Mogadishu ya kusini. [Abdurashid Abdulle Abikar/AFP]
Fununu kutoka kwa wakazi katika eneo la Yaqshid huko Mogadishu ya kaskazini Jumamosi (tarehe 24 Novemba) ilisababisha katika kukamatwa kwa washukiwa 21 wa al-Shabaab na ugunduzi wa maficho ya silaha, kwa mujibu wa maofisa usalama.
Siku mbili kabla, vikosi vya usalama vilifanya operesheni kutokana na fununu kutoka kwa mmiliki wa shamba huko Yaqshid ambayo matokeo yake ilikuwa mauaji ya kamanda wa al-Shabaab Abdinur Gardhub . Operesheni ya tarehe 22 mwezi Novemba pia ilisababisha kukamatwa kwa wanamgambo wengine 16 ambao walifanya shughuli nje ya kikundi kidogo cha watu katika maeneo ya Yaqshid, Suqa Holaha na Gubta, kwa mujibu wa kamanda wa Idara ya Usalama wa Taifa huko Benadir Koloneli Khalif Ahmed Ereg.
Ereg alisema maficho ya al-Shabaab huko Yaqshid yaligundulika kutokana na taarifa zilizotolewa na wakazi wa eneo hilo.
"Vikosi vya usalama viliwatia kizuizini wanachama 37 wa kikundi cha wapinga amani wa al- Shabaab, wakati wa mfululizo wa mashambulizi ya usiku yaliyofanywa kitongoji cha kaskazini ya Mogadishu," Ereg aliiambia Sabahi. "Mashambulizi haya yalilenga katika usafishaji wa mabaki ya al-Shabaab katika eneo hilo."
"Operesheni hizi zilisababisha kunyang'anywa kwa maficho ya aina tofauti za silaha ikiwa ni pamoja na silaha za vita, bunduki AK-47, silaha, milipuko na maguruneti ya kurusha kwa mkono," alisema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...