Skip to main content

Wakazi wasaidia kusafisha mabaki ya al-Shabaab Mogadishu


By Majid Ahmed, Mogadishu
Wakazi wa Mogadishu wanafanya jukumu kubwa katika usafishaji wa mabaki ya al-Shabaab katika mji mkuu, maofisa wa usalama wa Somalia wamesema.
Washukiwa wa Al-Shabaab wakipanda katika gari ndogo ya wazi ya polisi tarehe 10 Oktoba, mwaka 2012 katika kituo cha polisi huko Mogadishu ya kusini. [Abdurashid Abdulle Abikar/AFP]
Fununu kutoka kwa wakazi katika eneo la Yaqshid huko Mogadishu ya kaskazini Jumamosi (tarehe 24 Novemba) ilisababisha katika kukamatwa kwa washukiwa 21 wa al-Shabaab na ugunduzi wa maficho ya silaha, kwa mujibu wa maofisa usalama.
Siku mbili kabla, vikosi vya usalama vilifanya operesheni kutokana na fununu kutoka kwa mmiliki wa shamba huko Yaqshid ambayo matokeo yake ilikuwa mauaji ya kamanda wa al-Shabaab Abdinur Gardhub . Operesheni ya tarehe 22 mwezi Novemba pia ilisababisha kukamatwa kwa wanamgambo wengine 16 ambao walifanya shughuli nje ya kikundi kidogo cha watu katika maeneo ya Yaqshid, Suqa Holaha na Gubta, kwa mujibu wa kamanda wa Idara ya Usalama wa Taifa huko Benadir Koloneli Khalif Ahmed Ereg.
Ereg alisema maficho ya al-Shabaab huko Yaqshid yaligundulika kutokana na taarifa zilizotolewa na wakazi wa eneo hilo.
"Vikosi vya usalama viliwatia kizuizini wanachama 37 wa kikundi cha wapinga amani wa al- Shabaab, wakati wa mfululizo wa mashambulizi ya usiku yaliyofanywa kitongoji cha kaskazini ya Mogadishu," Ereg aliiambia Sabahi. "Mashambulizi haya yalilenga katika usafishaji wa mabaki ya al-Shabaab katika eneo hilo."
"Operesheni hizi zilisababisha kunyang'anywa kwa maficho ya aina tofauti za silaha ikiwa ni pamoja na silaha za vita, bunduki AK-47, silaha, milipuko na maguruneti ya kurusha kwa mkono," alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.