Skip to main content

OBAMA KUMBE UCHAWI WAKE UPO KWENYE RANGI YA NGUO



Stori: Mwandishi wetu
UCHAGUZI wa rais nchini Marekani umemalizika, mgombea wa Democrat, Barack Hussein Obama ameibuka kidedea baada ya kumbwaga wa Republican, Mitt Romney.
Rais Barack Hussein Obama akiwa amemkubatia mkewe Michelle Obama
Duru za kisiasa nchini humo zinasema kuwa mke wa Rais Obama, Michelle La Vaughn Robinson ni ‘uchawi’ tosha kwa kuwa alichangia ushindi wa mumewe kwa kile kinachotajwa kuwa nyota yake inang’ara ukilinganisha na ilivyokuwa kwa mke wa Romney aitwaye Ann.
...akiwa na familia yake
Imeelezwa na mitandao mbalimbali kuwa wakati wa kampeni katika majimbo tofauti, Michelle alishangiliwa zaidi na wapiga kura ikilinganishwa na Ann.
Wataalamu wa mambo ya utabiri walisema nguo alizokuwa akivaa Michelle walizozipa jina la election’s purple power dress (nguo za uchaguzi za rangi ya pinki yenye nguvu) zilikuwa zikisaidia kumfanya mumewe, Obama kuwa na mvuto katika uchaguzi huo.
Wachunguzi hao wanasema hasa nguo ya rangi hiyo ya pinki ambayo Michelle alikuwa akipendelea kuivaa, kiutabiri ilikuwa ikiongeza kung’aa kwa nyota ya Obama katika uchaguzi huo.
Hata hivyo, wananchi walikuwa wakisema wazi kuwa mke wa Obama alikuwa anavaa mavazi ya kilalahoi ukilinganisha na zile za Ann na hata siku ya kutangazwa matokeo alivaa ile ya rangi ya pinki.
Michelle aliwashangaza watu katika moja ya midahalo ya wagombea urais ambapo ‘alivunja sheria’ kwa kumzaba kakofi mumewe, kitendo kilichofanya wasikilizaji kumuiga hali iliyomduwaza mwendeshaji wa mdahalo, Candy Crowley.
Aidha, Obama anatajwa kuwa rais anayeongoza Marekani kwa kumpiga mabusu mkewe mara kwa mara tena hadharani.
Suala la nguo liliibuka tena walipokuwa Chuo Kikuu cha Lynn ambapo mavazi aliyovaa Michelle yalikuwa ya kawaida na kushangiliwa na watu hasa wanawake ambao inaaminika kuwa ndiyo waliompa kura nyingi Obama.
Obama baada ya kutangazwa mshindi saa 12:30 Jumatano iliyopita aliingia rasmi tena Ikulu ya White House, jijini Washington DC akiwa amefuatana na  mkewe Michelle pamoja na watoto wao Malia (12) na Sasha (9) ambapo wataishi kwa miaka mingine minne.Chanzo:www.globalpublishers.info

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.