Skip to main content

OBAMA KUMBE UCHAWI WAKE UPO KWENYE RANGI YA NGUO



Stori: Mwandishi wetu
UCHAGUZI wa rais nchini Marekani umemalizika, mgombea wa Democrat, Barack Hussein Obama ameibuka kidedea baada ya kumbwaga wa Republican, Mitt Romney.
Rais Barack Hussein Obama akiwa amemkubatia mkewe Michelle Obama
Duru za kisiasa nchini humo zinasema kuwa mke wa Rais Obama, Michelle La Vaughn Robinson ni ‘uchawi’ tosha kwa kuwa alichangia ushindi wa mumewe kwa kile kinachotajwa kuwa nyota yake inang’ara ukilinganisha na ilivyokuwa kwa mke wa Romney aitwaye Ann.
...akiwa na familia yake
Imeelezwa na mitandao mbalimbali kuwa wakati wa kampeni katika majimbo tofauti, Michelle alishangiliwa zaidi na wapiga kura ikilinganishwa na Ann.
Wataalamu wa mambo ya utabiri walisema nguo alizokuwa akivaa Michelle walizozipa jina la election’s purple power dress (nguo za uchaguzi za rangi ya pinki yenye nguvu) zilikuwa zikisaidia kumfanya mumewe, Obama kuwa na mvuto katika uchaguzi huo.
Wachunguzi hao wanasema hasa nguo ya rangi hiyo ya pinki ambayo Michelle alikuwa akipendelea kuivaa, kiutabiri ilikuwa ikiongeza kung’aa kwa nyota ya Obama katika uchaguzi huo.
Hata hivyo, wananchi walikuwa wakisema wazi kuwa mke wa Obama alikuwa anavaa mavazi ya kilalahoi ukilinganisha na zile za Ann na hata siku ya kutangazwa matokeo alivaa ile ya rangi ya pinki.
Michelle aliwashangaza watu katika moja ya midahalo ya wagombea urais ambapo ‘alivunja sheria’ kwa kumzaba kakofi mumewe, kitendo kilichofanya wasikilizaji kumuiga hali iliyomduwaza mwendeshaji wa mdahalo, Candy Crowley.
Aidha, Obama anatajwa kuwa rais anayeongoza Marekani kwa kumpiga mabusu mkewe mara kwa mara tena hadharani.
Suala la nguo liliibuka tena walipokuwa Chuo Kikuu cha Lynn ambapo mavazi aliyovaa Michelle yalikuwa ya kawaida na kushangiliwa na watu hasa wanawake ambao inaaminika kuwa ndiyo waliompa kura nyingi Obama.
Obama baada ya kutangazwa mshindi saa 12:30 Jumatano iliyopita aliingia rasmi tena Ikulu ya White House, jijini Washington DC akiwa amefuatana na  mkewe Michelle pamoja na watoto wao Malia (12) na Sasha (9) ambapo wataishi kwa miaka mingine minne.Chanzo:www.globalpublishers.info

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...