Skip to main content

RAGE: HATUNA MATATIZO NA FRIENDS OF SIMBA, HANSPOPE ATAKA MKUTANO WA DHARULA




Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema uongozi wake hauna ugomvi wala matatizo na kundi la wanachama, maarufu kwa jina la Friends of Simba.
Rage amesema wanawaheshimu baadhi ya wanachama wa kundi hilo kwa sababu wamekuwa wakitoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya klabu.
Hata hivyo, Rage amesema wapo baadhi ya wanachama wa kundi hilo, ambao hawautakii mema uongozi wake kwa vile wamekuwa wakishirikiana na makundi ya wanachama kuchochea vurugu.
Alisema kinachosikitisha ni kwamba, wanachama wa kundi hilo wanawafahamu vyema wenzao wachache wenye lengo la kuchochea vurugu, lakini hakuna hatua zozote walizowachukulia.
Rage amesema iwapo hali itaendelea kuwa hivyo, uongozi wake utalazimika kuwataja wanachama hao ili wafahamike na wahukumiwe kutokana na matendo yao.
"Si kweli kabisa kwamba uongozi wa Simba hauelewani na wanachama wa Friends of Simba. Tunawaheshimu sana kwa sababu baadhi yao wamekuwa wakitumia fedha zao nyingi kwa manufaa ya Simba,"alisema Rage.
"Lakini wapo baadhi ya wanachama wa kundi hilo miongoni mwao, ambao wamekuwa mstari wa mbele kuchochea vurugu kupitia katika baadhi ya matawi, lengo lao kubwa likiwa ni kuuondoa uongozi uliopo madarakani ili wakae wao,"aliongeza.
Akizungumzuia ombi la kuitishwa kwa mkutano wa dharula, Rage alisema uongozi wake hauna kinyongo na ombi hilo la wanachama, isipokuwa wanapaswa kufuata taratibu na katiba ya klabu hiyo.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba, Zacharia Hanspope amesema suluhusho pekee la mgogoro uliojitokeza sasa Simba ni kuitishwa kwa mkutano wa dharula wa wanachama ili waweze kujadili matatizo yaliyojitokeza na kuchukua hatua.
Alisema baadhi ya wanachama wa friends of Simba, akiwemo yeye wamekuwa wakiisaidia klabu hiyo kwa mapenzi yao wenyewe na katu hawana malengo ya kutaka uongozi.
Hata hivyo, alisema anashangaa kuona kuwa, wanachama hao hawakusema lolote katika mkutano ulioitishwa na uongozi hivi karibuni, badala yake wanazusha hoja ya kutaka uitishwe mkutano wa dharula hivi sasa.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.