Skip to main content

RAGE: HATUNA MATATIZO NA FRIENDS OF SIMBA, HANSPOPE ATAKA MKUTANO WA DHARULA




Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema uongozi wake hauna ugomvi wala matatizo na kundi la wanachama, maarufu kwa jina la Friends of Simba.
Rage amesema wanawaheshimu baadhi ya wanachama wa kundi hilo kwa sababu wamekuwa wakitoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya klabu.
Hata hivyo, Rage amesema wapo baadhi ya wanachama wa kundi hilo, ambao hawautakii mema uongozi wake kwa vile wamekuwa wakishirikiana na makundi ya wanachama kuchochea vurugu.
Alisema kinachosikitisha ni kwamba, wanachama wa kundi hilo wanawafahamu vyema wenzao wachache wenye lengo la kuchochea vurugu, lakini hakuna hatua zozote walizowachukulia.
Rage amesema iwapo hali itaendelea kuwa hivyo, uongozi wake utalazimika kuwataja wanachama hao ili wafahamike na wahukumiwe kutokana na matendo yao.
"Si kweli kabisa kwamba uongozi wa Simba hauelewani na wanachama wa Friends of Simba. Tunawaheshimu sana kwa sababu baadhi yao wamekuwa wakitumia fedha zao nyingi kwa manufaa ya Simba,"alisema Rage.
"Lakini wapo baadhi ya wanachama wa kundi hilo miongoni mwao, ambao wamekuwa mstari wa mbele kuchochea vurugu kupitia katika baadhi ya matawi, lengo lao kubwa likiwa ni kuuondoa uongozi uliopo madarakani ili wakae wao,"aliongeza.
Akizungumzuia ombi la kuitishwa kwa mkutano wa dharula, Rage alisema uongozi wake hauna kinyongo na ombi hilo la wanachama, isipokuwa wanapaswa kufuata taratibu na katiba ya klabu hiyo.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba, Zacharia Hanspope amesema suluhusho pekee la mgogoro uliojitokeza sasa Simba ni kuitishwa kwa mkutano wa dharula wa wanachama ili waweze kujadili matatizo yaliyojitokeza na kuchukua hatua.
Alisema baadhi ya wanachama wa friends of Simba, akiwemo yeye wamekuwa wakiisaidia klabu hiyo kwa mapenzi yao wenyewe na katu hawana malengo ya kutaka uongozi.
Hata hivyo, alisema anashangaa kuona kuwa, wanachama hao hawakusema lolote katika mkutano ulioitishwa na uongozi hivi karibuni, badala yake wanazusha hoja ya kutaka uitishwe mkutano wa dharula hivi sasa.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...