Skip to main content

Majadiliano ya bajeti yakwama




ARCHIV - Arbeiter demontieren in der Nacht von Donnerstag (16.08.2012) am Flughafen in Frankfurt am Main eine Euro-Skulptur am Terminal. Die Verhandlungen über den EU-Haushalt des kommenden Jahres sind am Freitagabend in Brüssel gescheitert. Dies teilte ein Sprecher der EU-Kommission mit. Die Vertreter der 27 EU-Regierungen und des Europaparlamentes trennten sich ergebnislos. Foto: Fredrik von Erichsen dpa/lhe +++(c) dpa - Bildfunk+++
Juhudi za mwanzo za kupatikana makubaliano juu ya bajeti ya mwaka 2013 ya umoja wa Ulaya zimeshindwa.
Serikali za mataifa ya umoja huo pamoja na bunge zimeshindwa kupata msimamo wa pamoja kuhusu suala la utendaji baada ya karibu saa nane za mazungumzo jana Ijumaa(09.11.2012).
Pande hizo mbili zitajaribu tena kupata makubaliano siku ya Jumanne, kabla ya muda wa mwisho ambao ni usiku wa manane , kuweza kukubaliana juu ya bajeti ama kuirejesha halmashauri ya Ulaya , katika kazi ya kuipanga upya bajeti hiyo.
Wanasiasa wa umoja wa Ulaya hawatilii manani sana uchelewesho huo, na wana matumaini kuwa muda wa mwisho unaweza kufikiwa.
Jumanne ndio mwisho
"Ni pale tu ambapo hatutaweza kufanikiwa siku ya Jumanne, tuwe watulivu na hatupaswi kujiuliza kuhusu nia njema ya wadau wote," amesema Adreas Mavroyiannis, naibu waziri anayehusika na masuala ya ulaya kutoka Cyprus, nchi ambayo kwa sasa inashikilia urais wa kupokezana wa umoja wa Ulaya.
"Inatokea katika wakati wa muafaka kuwa kuna kuwa na hali ya mkwamo , wasi wasi," amesema kamishna wa bajeti ya umoja wa ulaya Janusz Lewandowski. "lakini nafikiri hali ya uwajibikaji ipo."
Mavroyiannis, hata hivyo , amesema kuwa hali ya kuweza kushindwa siku ya Jumanne "haiwezi kuondolewa kabisa".

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.