Skip to main content

Majadiliano ya bajeti yakwama




ARCHIV - Arbeiter demontieren in der Nacht von Donnerstag (16.08.2012) am Flughafen in Frankfurt am Main eine Euro-Skulptur am Terminal. Die Verhandlungen über den EU-Haushalt des kommenden Jahres sind am Freitagabend in Brüssel gescheitert. Dies teilte ein Sprecher der EU-Kommission mit. Die Vertreter der 27 EU-Regierungen und des Europaparlamentes trennten sich ergebnislos. Foto: Fredrik von Erichsen dpa/lhe +++(c) dpa - Bildfunk+++
Juhudi za mwanzo za kupatikana makubaliano juu ya bajeti ya mwaka 2013 ya umoja wa Ulaya zimeshindwa.
Serikali za mataifa ya umoja huo pamoja na bunge zimeshindwa kupata msimamo wa pamoja kuhusu suala la utendaji baada ya karibu saa nane za mazungumzo jana Ijumaa(09.11.2012).
Pande hizo mbili zitajaribu tena kupata makubaliano siku ya Jumanne, kabla ya muda wa mwisho ambao ni usiku wa manane , kuweza kukubaliana juu ya bajeti ama kuirejesha halmashauri ya Ulaya , katika kazi ya kuipanga upya bajeti hiyo.
Wanasiasa wa umoja wa Ulaya hawatilii manani sana uchelewesho huo, na wana matumaini kuwa muda wa mwisho unaweza kufikiwa.
Jumanne ndio mwisho
"Ni pale tu ambapo hatutaweza kufanikiwa siku ya Jumanne, tuwe watulivu na hatupaswi kujiuliza kuhusu nia njema ya wadau wote," amesema Adreas Mavroyiannis, naibu waziri anayehusika na masuala ya ulaya kutoka Cyprus, nchi ambayo kwa sasa inashikilia urais wa kupokezana wa umoja wa Ulaya.
"Inatokea katika wakati wa muafaka kuwa kuna kuwa na hali ya mkwamo , wasi wasi," amesema kamishna wa bajeti ya umoja wa ulaya Janusz Lewandowski. "lakini nafikiri hali ya uwajibikaji ipo."
Mavroyiannis, hata hivyo , amesema kuwa hali ya kuweza kushindwa siku ya Jumanne "haiwezi kuondolewa kabisa".

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...