Skip to main content

Balozi Seif avalia njuga masuala ya umiliki wa ardhi, Serikali yafuta hati ya umiliki


Na Othman Khamis Ame, OMPR

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kumfutia mara moja hati ya umiliki wa Eneo la Shamba la Serikali Bwana Abeid Said Shankar alilopewa katika Kijiji cha Sehemu kufuatia mgongano unaoendelea kujitokeza kati yake na Wana kijiji wa eneo hilo ambao unaashiria hatma mbaya ya kuvunjika kwa amani baina ya pande hizo mbili.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Mali Asili Ndugu Juma Ali Juma na Ofisa wake wa Kilimo wakimuonyesha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif eneo la Ramani ya Shamba la Wizara hiyo la ekari 6 linaloleta mzozo wa umiliki.

Serikali pia imeuzuia Uongozi wa Kituo cha Kujiendeleza Kielimu cha Eneo hilo kufanya shuguli yoyote ya ujenzi kwa vile umiliki wake hauko kihalali katika vyombo vinavyosimamia masuala ya Ardhi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa kauli hiyo wakati alipofanya ziara fupi katika eneo hilo ambapo alishuhudia mgongano na malalamiko ya Wananchi hao dhidi ya wawaoendesha na Kumiliki Mashamba na Maeneo hayo.

Mama Mmoja alietaka kujenga nyumba katika eneo la Kituo hicho cha Kujiendeleza Kielimu baada ya kuombewa ruhusa na Uongozi wa Shehia hiyo alijikuta akizuiwa kujenga na Mkurugenzi wa Kituo hicho Bwana Kassim Hassan Juma ambaye alikuwa na nyaraka sizizo halali zinazokisiwa kuwa ni za kughushi.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Kilimo na Mali asili Ndugu Juma Ali Juma ambaye alikuwepo kwenye mkutano huo alimthibitishia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kwamba Bwana Kassim Hassan hakuwa na Nyaraka halali za eneo hilo ambalo ni milki ya Wizara ya Kilimo.

Ndugu Juma alisema kutokana na maombi na umuhimu wa Ardhi kwa mahitaji ya Jamii Serikali imeshaiagiza Wizara hiyo kulipima eneo hilo ili baadae ligaiwe kwa Wananchi kwa kuendeleza mahitaji yao Kilimo na Ujenzi ambapo alieleza kuwa kazi hiyo imeshakamika.

Malalamiko hayo yamekwenda sambamba na ule mzozo unaovukuta wa Wakulima waliokuwa wakiendeleza shughuli za Kilimo katika shamba la Bwana Abeid Said wakidai kwamba mmiliki huyo alikuwa akionyesha dalili mbali mbali za kuhatarisha maisha ya Mifugo pamoja na Vipando vyao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.