Skip to main content

Balozi Seif avalia njuga masuala ya umiliki wa ardhi, Serikali yafuta hati ya umiliki


Na Othman Khamis Ame, OMPR

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kumfutia mara moja hati ya umiliki wa Eneo la Shamba la Serikali Bwana Abeid Said Shankar alilopewa katika Kijiji cha Sehemu kufuatia mgongano unaoendelea kujitokeza kati yake na Wana kijiji wa eneo hilo ambao unaashiria hatma mbaya ya kuvunjika kwa amani baina ya pande hizo mbili.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Mali Asili Ndugu Juma Ali Juma na Ofisa wake wa Kilimo wakimuonyesha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif eneo la Ramani ya Shamba la Wizara hiyo la ekari 6 linaloleta mzozo wa umiliki.

Serikali pia imeuzuia Uongozi wa Kituo cha Kujiendeleza Kielimu cha Eneo hilo kufanya shuguli yoyote ya ujenzi kwa vile umiliki wake hauko kihalali katika vyombo vinavyosimamia masuala ya Ardhi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa kauli hiyo wakati alipofanya ziara fupi katika eneo hilo ambapo alishuhudia mgongano na malalamiko ya Wananchi hao dhidi ya wawaoendesha na Kumiliki Mashamba na Maeneo hayo.

Mama Mmoja alietaka kujenga nyumba katika eneo la Kituo hicho cha Kujiendeleza Kielimu baada ya kuombewa ruhusa na Uongozi wa Shehia hiyo alijikuta akizuiwa kujenga na Mkurugenzi wa Kituo hicho Bwana Kassim Hassan Juma ambaye alikuwa na nyaraka sizizo halali zinazokisiwa kuwa ni za kughushi.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Kilimo na Mali asili Ndugu Juma Ali Juma ambaye alikuwepo kwenye mkutano huo alimthibitishia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kwamba Bwana Kassim Hassan hakuwa na Nyaraka halali za eneo hilo ambalo ni milki ya Wizara ya Kilimo.

Ndugu Juma alisema kutokana na maombi na umuhimu wa Ardhi kwa mahitaji ya Jamii Serikali imeshaiagiza Wizara hiyo kulipima eneo hilo ili baadae ligaiwe kwa Wananchi kwa kuendeleza mahitaji yao Kilimo na Ujenzi ambapo alieleza kuwa kazi hiyo imeshakamika.

Malalamiko hayo yamekwenda sambamba na ule mzozo unaovukuta wa Wakulima waliokuwa wakiendeleza shughuli za Kilimo katika shamba la Bwana Abeid Said wakidai kwamba mmiliki huyo alikuwa akionyesha dalili mbali mbali za kuhatarisha maisha ya Mifugo pamoja na Vipando vyao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...