Skip to main content

Clattenburg aifanya Chelsea kupoteza muelekeo



Mark Clattenburg na Jon Obi Mikel
FA na idara ya polisi ya Metropolitan kuzungumza na Clattenburg
Chelsea wiki hii ina kibarua kigumu, mbali tu na kuangazia mechi dhidi ya Shakhtar Donetsk na Liverpool.
Wachezaji, makocha na pia wafanyakazi wa klabu hiyo ya London, huenda wakawapokea maafisa kutoka chama cha soka cha FA, na vilevile wale wa idara ya polisi ya Metropolitan.

Wote watakuwa na nia ya kuthibitisha yaliyotamkwa na mwamuzi Mark Clattenburg, au kutosemwa, wakati timu ya Chelsea ikiwa uwanja wa nyumbani, na maarufu kwa jina The Blues, iliposhindwa na Manchester United, katika uwanja wa Stamford Bridge, tarehe 28 Oktoba.
Mazungumzo kati ya wahusika wote yataamua kama Clattenburg atashtakiwa kwa kutumia lugha isiyofaa, dhidi ya mchezaji wa kimataifa wa Nigeria, Jon Obi Mikel, ambaye ni kiungo cha kati wa timu ya Chelsea.

Huku chama cha FA kikikabiliwa na shinikizo za kuepuka kesi iliyochukua muda mrefu kupata suluhu kumhusu John Terry, nia ni kuthibitisha kwamba shahidi wa mwisho katika kesi ya hivi sasa, Clattenburg, atahojiwa kwa haraka kabla ya mwisho wa wiki.

Tayari Clattenburg ameshafanya mashauri na chama cha waamuzi wataalamu, ili kurudi kazini mwishoni mwa wiki. Imeripoti BBC swahili.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.