Skip to main content

Rah P Kuja na Makamuzi Kivingine Tena


Fredinah Peyton a.k.a Rah P


Fredinah Peyton a.k.a Rah P ni msanii wa Hip Hop wa kike kutoka Tanzania.Wengi walijiuliza kuwa dada huyo amepotelea wapi.Rah P yupo Marikani kwa sasa akifanya maisha yake mwenyewe.Je unajuwa ni nini kilimpeleka Marekani,Rah P alienda Marekani kwa lengo la kusoma na alisoma takribani miaka miwili na alikuwa akipata msaada toka Tanzania yani nyumbani na alikuwa akifanyakazi zahapa na pale.Lakini kwa kipindi kifupi hakupata tena hayo mahitaji yake toka nyumbani.Rah P akashindwa kuendelea na shule,Lakini kwa kipindi kifupi alipata mchumba ambaye walikuwa kipendana sana aliyemuahidi kuendelea kumlipia shule na hivyo kabla ya kujuwa mengi zaidi juu ya huyo mpenzi wake alipata ujauzito na kupata mtoto wa kwanza na hivyo jamaa akashindwa na hakutaka kusikia habari ya shule sababu yakuwa na majukumu mengi,Hivyo Rah P akawa ni mama wa nyumbani na akiwa anasoma tu kupitia mtandao (online school) hakuwa anajisikia vizuri kaa tu nyumbani na kuwa mtu wa kulea watoto sababu alijuwa kama kitu chochote kitatokea juu ya huyo mchumba wake atakuwa na kitu cha kumsaidia.Kulingana na maisha livyokuwa jamaa alikwa ni mtu wa kwenda huku na kule akipiga dili zake hivyo Rah P akaendelea na maisha na akapata ujauzito wa pili na wakati huo anapata ujauzito yule jamaa alikamatwa na kuhukumiwa kifungo cha miaka 25 jela.Kwakuwa huyo jamaa alikuwa ni mfanyabiashara ya madawa ya kulevya.Rah P akawa amepatwa na msongamano wa mawazo hivyo akawa ni mlevi mlevi kupindukia iliyompeleka na yeye pia kufungwa jela na mtoto wake wakiume alikuwa na umri wa miezi mitano(5) na wakike umri wa miaka miwili(2) ila alitoka na kugunduwa nijambo gani yampasa afanye kama mungu anavyopendelea awe.Na hivi sasa ameamuwa kuendelea na fani yake ya muziki na kafanya ngoma moja aliyoshirikishwa na mshindi mara mbili wa Tursker Project Fame.Mrwanda Alpha Rwirangira na nyimbo hiyo inakwenda kwa jina la African Swagger
Alpha Rwirangira

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.