Skip to main content

Rah P Kuja na Makamuzi Kivingine Tena


Fredinah Peyton a.k.a Rah P


Fredinah Peyton a.k.a Rah P ni msanii wa Hip Hop wa kike kutoka Tanzania.Wengi walijiuliza kuwa dada huyo amepotelea wapi.Rah P yupo Marikani kwa sasa akifanya maisha yake mwenyewe.Je unajuwa ni nini kilimpeleka Marekani,Rah P alienda Marekani kwa lengo la kusoma na alisoma takribani miaka miwili na alikuwa akipata msaada toka Tanzania yani nyumbani na alikuwa akifanyakazi zahapa na pale.Lakini kwa kipindi kifupi hakupata tena hayo mahitaji yake toka nyumbani.Rah P akashindwa kuendelea na shule,Lakini kwa kipindi kifupi alipata mchumba ambaye walikuwa kipendana sana aliyemuahidi kuendelea kumlipia shule na hivyo kabla ya kujuwa mengi zaidi juu ya huyo mpenzi wake alipata ujauzito na kupata mtoto wa kwanza na hivyo jamaa akashindwa na hakutaka kusikia habari ya shule sababu yakuwa na majukumu mengi,Hivyo Rah P akawa ni mama wa nyumbani na akiwa anasoma tu kupitia mtandao (online school) hakuwa anajisikia vizuri kaa tu nyumbani na kuwa mtu wa kulea watoto sababu alijuwa kama kitu chochote kitatokea juu ya huyo mchumba wake atakuwa na kitu cha kumsaidia.Kulingana na maisha livyokuwa jamaa alikwa ni mtu wa kwenda huku na kule akipiga dili zake hivyo Rah P akaendelea na maisha na akapata ujauzito wa pili na wakati huo anapata ujauzito yule jamaa alikamatwa na kuhukumiwa kifungo cha miaka 25 jela.Kwakuwa huyo jamaa alikuwa ni mfanyabiashara ya madawa ya kulevya.Rah P akawa amepatwa na msongamano wa mawazo hivyo akawa ni mlevi mlevi kupindukia iliyompeleka na yeye pia kufungwa jela na mtoto wake wakiume alikuwa na umri wa miezi mitano(5) na wakike umri wa miaka miwili(2) ila alitoka na kugunduwa nijambo gani yampasa afanye kama mungu anavyopendelea awe.Na hivi sasa ameamuwa kuendelea na fani yake ya muziki na kafanya ngoma moja aliyoshirikishwa na mshindi mara mbili wa Tursker Project Fame.Mrwanda Alpha Rwirangira na nyimbo hiyo inakwenda kwa jina la African Swagger
Alpha Rwirangira

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...