Skip to main content

MAPYA YAIBUKA SAKATA LA MTUHUMIWA WA MAUWAJI YA MWANGOSI


SAKATA ya mauwaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha Chanel Ten mkoani Iringa marehemu Daudi Mwangosi limeendelea kuchukua sura mpya mkoani Iringa baada ya askari polisi anayetuhumiwa kuhusika na mauwaji hayo kufichwa katika gari maalum na askari wenzao 
Askari polisi wakiweka ulinzi kumziba mwenzao asipigwe picha leo
Tukio hilo lilitokea leo wakati mtuhumiwa huyo akifikishwa mahakamani huku askari polisi hao muda wote walionekana kuzunguka huku na kule katika mahakama hiyo kama njia ya kuwathibiti wanahabari waliokuwepo mahakamani hapo wasipate nafasi ya kumpiga picha mtuhumiwa huyo ambaye ni askari mwenzao mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23)
Hata hivyo kabla ya kuingia karandika la mahabusu wengine gari ya polisi aina ya Toyota yenye namba za usajili PT 1404 ikiwa na askari zaidi ya 10 ilifika katika viwanja hivyo vya mahakama na kuegeshwa pembeni bila ya mtuhumiwa huyo aliyekuwa amefunikwa sura yake kwa kofia na kufichwa kabisa sura yake kuonekana huku akiwa amekaa mbele kwa dereva huku akifichwa na askari mwenzake pasipo kushuka.
Zikiwa zimebaki kama dakika 10 mahakama kuanza gari hilo lilisogea hadi mlango wa Mahakama na askari waliokuwepo mahakamani hapo zaidi ya 20 kulizunguka gari hilo huku wengine wakiwathibiti wanahabari akiwemo mwandishi wa habari hizi kama njia ya kuzuia kupigwa picha kwa mtuhumiwa huyo na baada ya kuingia ndani ya mahakama kabla ya hakimu kufika uthibiti ndani ya chumba cha mahakama ulikuwa mkali zaidi dhidi ya wanahabari hasa wale wenye kamera.
Wakati huo huo Mahakama ya hakimu mkazi wa wilaya ya Iringa imeahirisha kesi hiyo ya mauwaji ya mwanahabari Daudi Mwangosi ambae pia alikuwa ni mwenyekiti klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) ,mtuhumiwa huyo askari mwenye namba G2573 Simoni (23) atafikishwa tena mahakamani hapo Desemba 5 mwaka huu kesi hiyo itakapo tajwa tena.
Mwendesha mashitaka wa jamhuri Adolf Maganda aliieleza mnahakamani hiyo mbele ya hakimu Dyness Lyimo kuwa mtuhumiwa huyo mnamo 02 Septemba mwaka huu katika kijiji cha Nyololo Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa alimuua Daudi Mwangosi kwa makusudi kinyume na kifungu cha sheria namba 148 kifungu kidogo 5A.i cha makosa ya jinai.
Kwa mujibu wa kesi za jinai, sheria kifungu 196 kanuni ya adhabu Cap. 16 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002, kinakataza mtuhumiwa wa mauaji ya kukusudia kupewa dhamana.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...