Skip to main content

Muhula wa pili kwa Rais Barack Obama

Hotuba yake ya ushindi
Rais wa Marekani Barack Obama amechaguliwa tena kwa muhula wa pili na kumshinda mpinzani wake wa Republican Mitt Romney.
Barack ambaye ni rais wa kwanza mweusi wa Marekani, alipata kura 270 za (Electral College) zilizohitajika ili kupata ushindi.
Kura hizi hupigwa na watu maalum wanaoteuliwa na majimbo kulingana na idadi ya miji katika majimbo hayo.
Katika hotuba yake ya ushindi, mbele ya umati mkubwa wa watu mjini Chicago, Obama alisema kuwa atashauriana na bwana Romney kuhusu wanavyoweza kuendesha nchi hiyo.
Aidha Obama aliweza kuwashawishi wananchi kumpigia kura na hivyo kushinda licha ya changamoto nyingi zilizowavunja moyo wananchi hususan swala la uchumi.
Obama pia alikabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa mshindani wake Mit Romney.
Wabunge wake wa Democrats waliweza kusalia na idadi yao kubwa katika bunge la Senate ambalo wameshikilia tangu mwaka 2007.
Wabunge wa Republican nao wataendelea kudhibiti bunge la waakilishi, hatua ambayo wadadisi wanasema kuwa huenda likasalia kuwa kikwazo kikubwa kwa Obama na mipango yake ya nchi hasa kuhusu maswala ya sheria.
Sherehe zilizofuata ushindi wa Barack Obama 


Katika hotuba yake ya ushindi Obama aliwataka wapinzani wake kushirikiana naye kuleta mageuzi nchini humo.
Zikiwa zimesalia tu kura 29 kutoka kwa jimbo la Florida, Obama aliweza kushinda kura 303 dhidi ya kura 206 za Mit Romney.
Katika kura za ujumla zilizopigwa na wananchi ambazo ni muhimu kisiasa ingawa sizo ambazo zinampa rais ushindi , ushindani mkali ulidhirika kwani Obama alipata asilima hamsini huku Romney akipata asilimia 48.
Obama alimpongeza bwana Romney na mgombea mwenza wake Paul Ryan kwa kuendesha kampeini yao iliyokuwa na ushindani mkubwa.
Bwana Obama alisema anarejea ikulu ya White house akiwa na motisha zaidi kumaliza kazi aliyoianzisha na kuhakikisha mustakabali mwema kwa wamarekani.


Obama alituma ujumbe kwenye Twitter baada ya kupata taarifa za ushidni wake akiwashukuru wapiga kura
Katika hisia zilizotolewa kote ulimwenguni kufuatia ushindi wa rais Obama, Wizara ya mambo ya nje ya Uchina imesema rais Hu Jintao na waizri mkuu Wen Jiabao wamempongeza Obama kuchaguliwa tena kuwa rais.

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron, amesema Rais Obama amekuwa kiongozi mwenye mafanikio na alitazamia kuendelea kufanya kazi naye.

Rais wa Umoja wa Ulaya Herman van Rompuy, amesema ana furaha kuhusu ushindi wa rais Obama. Naye waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amesema uhusiano kati ya nchi yake na Marekani umezidi kuwa na nguvu kushinda siku za nyuma.Source.BBC swahili.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...