Skip to main content

Muhula wa pili kwa Rais Barack Obama

Hotuba yake ya ushindi
Rais wa Marekani Barack Obama amechaguliwa tena kwa muhula wa pili na kumshinda mpinzani wake wa Republican Mitt Romney.
Barack ambaye ni rais wa kwanza mweusi wa Marekani, alipata kura 270 za (Electral College) zilizohitajika ili kupata ushindi.
Kura hizi hupigwa na watu maalum wanaoteuliwa na majimbo kulingana na idadi ya miji katika majimbo hayo.
Katika hotuba yake ya ushindi, mbele ya umati mkubwa wa watu mjini Chicago, Obama alisema kuwa atashauriana na bwana Romney kuhusu wanavyoweza kuendesha nchi hiyo.
Aidha Obama aliweza kuwashawishi wananchi kumpigia kura na hivyo kushinda licha ya changamoto nyingi zilizowavunja moyo wananchi hususan swala la uchumi.
Obama pia alikabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa mshindani wake Mit Romney.
Wabunge wake wa Democrats waliweza kusalia na idadi yao kubwa katika bunge la Senate ambalo wameshikilia tangu mwaka 2007.
Wabunge wa Republican nao wataendelea kudhibiti bunge la waakilishi, hatua ambayo wadadisi wanasema kuwa huenda likasalia kuwa kikwazo kikubwa kwa Obama na mipango yake ya nchi hasa kuhusu maswala ya sheria.
Sherehe zilizofuata ushindi wa Barack Obama 


Katika hotuba yake ya ushindi Obama aliwataka wapinzani wake kushirikiana naye kuleta mageuzi nchini humo.
Zikiwa zimesalia tu kura 29 kutoka kwa jimbo la Florida, Obama aliweza kushinda kura 303 dhidi ya kura 206 za Mit Romney.
Katika kura za ujumla zilizopigwa na wananchi ambazo ni muhimu kisiasa ingawa sizo ambazo zinampa rais ushindi , ushindani mkali ulidhirika kwani Obama alipata asilima hamsini huku Romney akipata asilimia 48.
Obama alimpongeza bwana Romney na mgombea mwenza wake Paul Ryan kwa kuendesha kampeini yao iliyokuwa na ushindani mkubwa.
Bwana Obama alisema anarejea ikulu ya White house akiwa na motisha zaidi kumaliza kazi aliyoianzisha na kuhakikisha mustakabali mwema kwa wamarekani.


Obama alituma ujumbe kwenye Twitter baada ya kupata taarifa za ushidni wake akiwashukuru wapiga kura
Katika hisia zilizotolewa kote ulimwenguni kufuatia ushindi wa rais Obama, Wizara ya mambo ya nje ya Uchina imesema rais Hu Jintao na waizri mkuu Wen Jiabao wamempongeza Obama kuchaguliwa tena kuwa rais.

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron, amesema Rais Obama amekuwa kiongozi mwenye mafanikio na alitazamia kuendelea kufanya kazi naye.

Rais wa Umoja wa Ulaya Herman van Rompuy, amesema ana furaha kuhusu ushindi wa rais Obama. Naye waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amesema uhusiano kati ya nchi yake na Marekani umezidi kuwa na nguvu kushinda siku za nyuma.Source.BBC swahili.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...