Skip to main content

MISRI YAAHIDI KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA


Na Mwandishi Wetu
VYOMBO vya habari nchini Misri vimeahidi kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo nchini katika kuhakikisha Tanzania inapata watalii wengi zaidi jambo litakaloendelea kudumisha mahusiano mema yaliyopo kati ya nchi hizo.
Marwa Tawfik (Kulia) mmoja wa wajumbe waliowakilisha vyombo vya habari nchini Misri kuja Tanzania kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii akifafanua jambo kwa wajumbe wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kile walichojionea walipofanya ziara katika vivutio mbalimbali vya utalii Tanzania Bara na Zanzibar.Wengine ni baadhi ya wawakilishi kutoka Misri.
Hayo yalisema Dar es Salaam juzi na mmoja wa wawakilishi wa vyombo vya habari nchini Misri, Marwa Tawfik alipozungumzia ziara waliyofanya katika vivutio vya utalii nchini ambapo waliahidi kutumia vyombo vyao kutangaza walivyoviona.
Ujumbe wa watu sita uliowakilisha vyombo mbalimbali vya habari nchini Misri yakiwemo magazeti na televisheni chini ya Ofisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini humo Jestas Nyamanga walifanya ziara ya siku tano nchini kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii Tanzania Bara na Visiwani chini ya uratibu wa Bodi ya Utalii nchini (TTB).
Alisema wanaporudi nchini kwao watakaa na uongozi wa vyombo vyao na kuangalia jinsi ya kupata vipindi maalumu katika televisheni na makala katika magazeti jambo litakalowezesha taarifa za utalii za Tanzania kuwafikia watu wengi zaidi nchini mwao na nchi nyingine za ukanda huo.
Tawfik alisema ana imani ziara hiyo pamoja na kazi watakayoifanya ya kuvitangaza vivutio husika itasaidia Tanzania kupata watalii wengi zaidi kutoka nchini mwao na katika nchi za ukanda wa kiarabu. “Tumeona utajiri wa asili wa ajabu uliopo Tanzania,sisi tunaahidi kutumia vyombo vyetu kutangaza vivutio hivi katika kuhakikisha watu wengi zaidi wanahamasika kuja Tanzania na hatimaye kuwaongezea pato lenu kupitia utalii,” alisema Tawfik.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.