Bendi hiyo ya Mashujaa inatarajiwa kuzindua albam yao ya ‘Risasi Kidole’ yenye nyimbo sita. Burudani zingine zitakazokuwepo siku hiyo ni wanamuziki wa kizazi kipya ambao ni H. Baba, Ney wa Mitego, Mb Dog na wasanii wengine kibao wa muziki wa kizazi kipya.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/GPL)
Comments