Skip to main content

Vietnam na Zanzibar zakubaliana kuimarisha uhusiano


Hanoi,Vietnam 23.11.2012
ZANZIBAR na Vietnam zimekubaliana kuimarisha uhusiano na ushirikiano katika kukuza sekta za maendeleo na uchumi huku Vietnam ikiahidi kuiunga mkono Zanzibar katika kuhakikisha inafikia malengo yake iliyojiwekea katika kuimarisha sekta za maendeleo na uchumi .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed shein, wakaribishwa katika Ikulu ya Vietnam,alipofika kwa mazungumzo na Makamo wa Rais wa Vietnam Bibi, Nguyen Thi Doan,akiwa na ujumbe wake katika ziara rasmi ya Kiserikali nchini humo ya wiki moja. [Picha na Ramadhan Othman Vietnam.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein alisema kuwa ipo haja ya kuimarisha na kukuza uhusiano na ushirikiano wa kihistoria uliopo kati ya Tanzaniaikiwemo Zanzibar na Vietnam hasa katika sekta za maendeleo na uchumi.
Dk. Shein aliyasema hayo leo wakati alipokuwa na mazungumzo na Makamu wa Rais wa Vietman Mhe. Bi Nguyen Thi Doan huko katika ukumbi wa Ikulu ya nchi hiyo mjini Hanoi.
Katika mazungumzo hayo Dk. Shein alimueleza kiongozi huyo kuwa Zanzibar ina mengi ya kujifunza kutoka Vietnam kutokana na nchi hiyo kupata mafanikio makubwa katika uimarishaji wake wa uchumi na pamoja na sekta za maendeleo.
Dk. Shein alisema kuwa miongoni mwa maeneo muhimu ya kuimarisha zaidi ushirikiano huo kati ya Zazibar na Vietnam ni pamoja na sekta ya uvuvi, kilimo, utalii, uimarishaji wananchi kiuchumi, biashara pamoja na sekta nyenginezo.
Aidha, Dk. Shein amueleza Makamu huyo wa Rais kuwa Tanzania na Vietnam zimekuwa na uhusiano na ushirikiano wa muda mrefu tokea miaka ya 1960 na zimeweza kuungana mkono katika mambo mbali mbali ya kimaendeleo, kiuchumi na hata kisiasa.
Dk. Shein alimueleza kingozi huyo hatua zinazochukuliiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika kuimarisha sekta za maendeleo na uchumi na mafanikio yaliofikiwa katika kutekeleza Dira ya 2020 pamoja na Mkakati wa Kukuza Uchumi a Kupunguza Umasikini (MKUZA).

Kwa upande wa kilimo Dk. Shein alimueleza kiongozi huyo kuwa Tanzania imeweka mikakati maalum ya kuimarisha sekta ya kilimo ambapo kwa upande wa Zanzibar Serikali mechukua juhudi kubwa katika kuhakikisha sekta hiyo inapewa kipaumbele.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...