Skip to main content

CCM yajipima kwa CHADEMA


VIGOGO WAPYA, MAWAZIRI KUANZA ZIARA MIKOANI
KATIKA mikakati yake ya kupambana na nguvu za operesheni za CHADEMA mikoani, Chama cha Mapinduzi (CCM), kimelazimika kuwatumia viongozi wake wapya wakiongozana na mawaziri ili kwenda mikoani kufafanua kwa wananchi jinsi serikali ilivyotekeleza ilani yake.
Hii itakuwa ni mara ya pili kwa chama hicho kujaribu kukabiliana na upinzani wa CHADEMA mikoani, ambapo mwaka jana baada ya mkutano wao wa maazimio ya kujivua gamba, walijitahidi kuzunguka baadhi ya mikoa bila kufua dafu.
Operesheni zinazofanywa na CHADEMA za Sangara na sasa Vuguguvu la Mabadiliko (M4C), zimeitikisa CCM na hivyo wajumbe wake kutumia muda mwingi kwenye mkutano mkuu wao uliomalizika mjini Dodoma, kujitapa kuwa lazima wafanye mashambulizi ya kuwasambaratisha.
Akitangaza mkakati huo mpya jana kwa waandishi wa habari wa kuchanja mbunga kwa kutumia anga kwa helikopta kama CHADEMA, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema wameanda ziara ya siku nne katika mikoa minne.
Alisema ziara hiyo itaongozwa na sekretarieti mpya chini ya Katibu wake Mkuu, Abdullahman Kinana, na kuwashirikisha baadhi ya mawaziri.
Nape alisema kuwa ziara hiyo ni ya chama na sio ya kiserikali na kwamba itaanza kesho hadi Novemba 24 katika mikoa ya Mtwara, Arusha, Geita na Rukwa.
Akifafanua zaidi alisema Kinana ataanzia Mtwara ambako atakuwa na mawaziri husika wanaoshughulikia masuala ya kilimo ili kuzungumzia zao la korosho na waziri wa uchukuzi atakayezungumzia bandari na miundombinu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...