Skip to main content

TAMKO LA JUMUIYA YA MAIMAM ZANZIBAR


KUHUSU VURUGU, FUJO, VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI, KUNYANYASWA , KUDHALILISHWA NA KUPIGWA WANANCHI WASIO NA HATIA.
uamsho
Sifa zote njema anastahiki Allah (S.W) Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo. Sala na salamu zimfikie kipenzi cha Umma Mtume Muhammad (S.A.W) jamaa zake, Maswahaba zake na wale wote wanaowafuata kwa wema hadi siku ya malipo.
Kwa mara nyengine tena nchi yetu imetumbukia katika vitendo vya vurugu, fujo, uharamia na vitendo vya uvunjifu wa amani kuanzia tarehe 17 hadi 19 Octoba 2012 kufuatia kutoweka kwa Sheikh Farid Hadi katika mazingira ya kutatanisha. 
Vikundi vya Maharamia kwa kutumia kichaka cha kutekwa “Sheikh Farid Hadi” walitekeleza hujuma kubwa sana ambayo imepelekea maafa kadhaa ikiwemo kumwaga damu za watu, kuharibiwa mali za watu, kutia khofu kubwa wananchi, kuashiria kusambaratika kwa Umoja, kuvunja heshima za watu, na kuharibiwa kwa miundo mbinu.
JUMAZA kama ilivyotangulia kusema kufuatia vurugu na fujo katika uchaguzi mdogo wa Bububu, kuwa kipo kikundi cha watu wanaotekeleza mipango yao ya kuihujumu Zanzibar kwa kupinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa ( SUK ) ili kuwarejesha Wazanzibari katika maisha ya hasama na uadui baina yao pamoja na kupinga harakati za kupigania hadhi ya Zanzibar ndani na nje, Kimataifa. Kutokana na tatizo hili linaloendelea kukua na katika kuiangamiza Zanzibar, JUMAZA inatoa tamko lifuatalo:-
JUMAZA inawatanabahisha wananchi wote kuwa Taasisi za kiislamu Zanzibar kamwe hazihusiani na vurugu hizo kwani zenyewe zinapigania amani, utulivu mshikamano umoja na udugu kama inavyoelekezwa katika Dini yetu tukufu ya Kiislamu.
JUMAZA inalaani vikali wale wote waliofanya fujo na hujuma zilizopelekea maafa katika nchi yetu kwa kutumia kichaka cha “ Kutekwa Sheikh Farid Hadi”.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.