Skip to main content

TAMKO LA JUMUIYA YA MAIMAM ZANZIBAR


KUHUSU VURUGU, FUJO, VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI, KUNYANYASWA , KUDHALILISHWA NA KUPIGWA WANANCHI WASIO NA HATIA.
uamsho
Sifa zote njema anastahiki Allah (S.W) Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo. Sala na salamu zimfikie kipenzi cha Umma Mtume Muhammad (S.A.W) jamaa zake, Maswahaba zake na wale wote wanaowafuata kwa wema hadi siku ya malipo.
Kwa mara nyengine tena nchi yetu imetumbukia katika vitendo vya vurugu, fujo, uharamia na vitendo vya uvunjifu wa amani kuanzia tarehe 17 hadi 19 Octoba 2012 kufuatia kutoweka kwa Sheikh Farid Hadi katika mazingira ya kutatanisha. 
Vikundi vya Maharamia kwa kutumia kichaka cha kutekwa “Sheikh Farid Hadi” walitekeleza hujuma kubwa sana ambayo imepelekea maafa kadhaa ikiwemo kumwaga damu za watu, kuharibiwa mali za watu, kutia khofu kubwa wananchi, kuashiria kusambaratika kwa Umoja, kuvunja heshima za watu, na kuharibiwa kwa miundo mbinu.
JUMAZA kama ilivyotangulia kusema kufuatia vurugu na fujo katika uchaguzi mdogo wa Bububu, kuwa kipo kikundi cha watu wanaotekeleza mipango yao ya kuihujumu Zanzibar kwa kupinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa ( SUK ) ili kuwarejesha Wazanzibari katika maisha ya hasama na uadui baina yao pamoja na kupinga harakati za kupigania hadhi ya Zanzibar ndani na nje, Kimataifa. Kutokana na tatizo hili linaloendelea kukua na katika kuiangamiza Zanzibar, JUMAZA inatoa tamko lifuatalo:-
JUMAZA inawatanabahisha wananchi wote kuwa Taasisi za kiislamu Zanzibar kamwe hazihusiani na vurugu hizo kwani zenyewe zinapigania amani, utulivu mshikamano umoja na udugu kama inavyoelekezwa katika Dini yetu tukufu ya Kiislamu.
JUMAZA inalaani vikali wale wote waliofanya fujo na hujuma zilizopelekea maafa katika nchi yetu kwa kutumia kichaka cha “ Kutekwa Sheikh Farid Hadi”.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...