Skip to main content

Yanga yapewa majina ya kikosi cha Township Rollers



Imebainik akuwa Uongozi wa Yanga, umepewa majina matatu ya nyota wanaokipiga kwenye kikosi cha Township Rollers ya Botswana ambao wanatakiwa kuwachunga ili wasiweze kuwaletea madhara watakapopambana katikati ya wiki ijayo. Jumatano ya wiki ijayo, Yanga inatarajiwa kucheza na timu hiyo katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Majina ya nyota hao watatu wanaokipiga kwenye kikosi cha Township Rollers ambayo inaongoza Ligi Kuu ya Botswana ni winga wa kulia Motsholetsi Sikele anayevaa jezi namba 28, kiungo wa kati Segolame Boy anayevaa jezi namba 11 (wote ni raia wa Botswana) na winga wa kushoto, Tshepo Matete, anayevaa jezi namba 18 ambaye ni raia wa Afrika Kusini.

Akiwazungumzia nyota hao, Rashid Mandawa ambaye ni straika Mtanzania anayekipiga kwenye kikosi cha BDF XI ya nchini humo, alisema: “Wapo wachezaji wengi tishio kutokana na timu yenyewe jinsi ilivyo, lakini wale wanaocheza nafasi za mbele kama Boy, Tshepo na Sikele ni hatari zaidi.

“Yanga wanatakiwa kufahamu kwamba wanakwenda kupambana na timu kubwa na wala wasiibeze kwani hapa Botswana, timu hiyo ina mashabiki wengi karibia nchi nzima wanaishabikia, kwa mashabiki tunaweza kusema ni kama ilivyo Yanga huko nyumbani. “Lakini pia tukizungumzia miundombinu ya timu, naifananisha Township kama Azam kwa maana kwamba ina uwanja wake kama ilivyo Azam vile, kwa ufupi hii timu inaendeshwa ki-profesheno zaidi.”

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.