Skip to main content

Serikali itakayo punguza au kumaliza changamoto zinazowakabili wanawake wanaofanya biashara mipakani mwa nchi






SERIKALI ya Jamuhuri ya Muungano nchini  imeshauriwa kutunga sheria itakayo punguza au kumaliza changamoto zinazowakabili wanawake wanaofanya biashara mipakani mwa nchi.
 Image result for TGNP

Hayo yamesemwa Dar es Salaam juzi  na wadau wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania(TGNP ) ambapo ushauri huo umetolewa na washiriki wa mafunzo ya kuzingatia masuala ya  kijinsia katika biashara za mipakani yaliyoendeshwa na mtandao huo.
Baadhi ya changamoto zizoelezwa wakati wa mafunzo hayo ni zile zinazolenga kumdharirisha mwanamke awapo katika harakati za kuendesha biashara zake katika maeneo ya mipakani.
Moja ya changamoto zilizoelezwa  moja wapo ni kuombwa rushwa ya ngono ,upekuzi wa maungoni usio zingatia jinsi,mwanamke kupekuliwa na mwanaume na hivyo kushauri serikali iajiri ma askali wanawake katika mipaka hiyo kwa uwiano sawia kati ya mwanamke na mwanaume ili kisiwepo kisingizio,
Pia ni urasimu umeelezwa  kuwa ni changamoto nyingine kwa watumishi wa serikali waliopo mipakani kwa pande zote mbili yaani nchi na nchi hususani maaskari wanatuhumiwa kuwa na urasimu katika utoaji wa huduma na kutafuta visingizio na hatimaye mwanamke kujikuta ametoa rushwa ya ngono.
Hata hivyo imebainika kuwa wanawake wengi hawajiamini na hawafuati ama kusoma miongozo ya biashara sanjari na hilo wanawake hufanyiwa ukatili wa kijinsia wawapo mipakani.
Hivyo kupendekezwa kuwa watoa huduma mipakani wajengewe uwezo kuhusu biashara mipakani hivyo wizara washirika watoe elimu kulingana na kada zao mana biashara ni suala mtambuka ambapo hugusa sekta nyingi.
Kwa upande wake Ofisa Biashara kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara Fredy Kakula alisema kuwa kuna kila sababu Serikali kutunga sheria itakayotoa Muongozo wakuendesha biashara mipakani kwa wanawake.
“Kwasasa tunaongozwa na sera,na sera yenyewe ilitungwa mwaka 2003 ni takribani miaka 15 sasa hatuna budi kutunga sheria na sera mpya dhidi ya wanawake wanaofanya biashara mipakani.Kakula alisema.
Naye Mhamasihaji toka TGNP Gemma Akilimali amewataka washiriki hao kwenda kupigia chapuo katika Wizara wanazo hudumu ili iweze kufanyiwa kazi haraka mana athari zitokanazo na ukatili wa mwanamke mfanya biashara mpakani zinaongezeka kila siku.
‘’Pamoja na TGNP kuchagiza katika hili bado mchango wenu ni mkubwa katika kufanikisha hili kwakuwa nyiynyi ndiyo mpo jikoni.
TGNP imekuwa ikitoa semina mbali mbali za kuwajengea uwezo makundi ya jinsia na kwa lika tofauti bila kujali kijana au ,mzee ama mwanamke au mwanaume.



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...