Skip to main content

Samatta azidi kung'ra majuu


NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana amecheza kwa dakika zote 90 na kuisaidia klabu yake, KRC Genk kutinga fainali ya Kombe la Ubelgiji kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Kortrijk katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk.
Kwa matokeo hayo, Genk inasonga mbele kwa faida ya mabao ya ugenini baada ya sare ya 3-3 kufuatia awali kufungwa 3-2 kwenye mchezo kwanza Uwanja wa Guldensporen mjini Kortrijk.
Mfungaji wa bao pekee la Genk usiku wa jana ni kiungo Msenegali mwenye umri wa miaka 28, Ibrahima Seck aliyefunga dakika ya 15 akimalizia pasi ya kiungo Mspaniola, Alejandro Pozuelo Melero.

Genk sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Club Brugge na Standard Liege zinazomenyana kesho Saa 4:45 usiku Uwanja wa Jan Breydelstadion mjini Brugge. Mechi ya kwanza Standard Liege ilishinda 4 – 1 na leo itakwenda kupigania sare au kufungwa si zaidi ya 2-0.
Samatta jana alikuwa anacheza kwa mara ya nne tangu apone maumivu ya mishipa midogo ya goti lake la mguu wa kulia iliyochanika Novemba 4, mwaka jana akiichezea KRC Genk ikilazimishwa sare ya 0-0 na Lokeren katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk na kumsababisha afanyiwe upasuaji mdogo. 
Kwa ujumla Samatta amefikisha mechi 74 tangu alipojiunga na Genk Januari mwaka 2016 akitokea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Na katika mechi hizo, Samatta, mshambuliaji wa zamani wa Mbagala Market, African Lyon na Simba za Tanzania, amefunga mabao 22 kwenye mashindano yote.
Kikosi cha KRC Genk kilikuwa; Vukovic, Uronen, Colley, Aidoo, Nastic, Wouters, Seck, Pozuelo/Writers dk79, Samatta, Buffel na Ingvartsen/Karelis dk65.
KV Kortrijk; Kaminski, Kumordzi, Makarenko, Kagelmacher, Rougeaux, Ajagun/Lepoint dk73, Chevalier, Van Der Bruggen/Azouni dk73, Ouali/Stojanovic dk84, D'Haene na Perbet.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...