Skip to main content

CHUO Kikuu Huria kimesaini Makubaliano yanayo husisha Asasi isiyokuwa ya Kiserikali ya Kimataifa ya Ushirika wa Vijana(IYF)


CHUO Kikuu Huria cha Tanzania jana kimesaini Makubaliano yanayo husisha
Asasi isiyokuwa ya Kiserikali ya Kimataifa ya Ushirika wa Vijana(IYF)


Akizungumza wakati wa makubaliano hayo yaliyofanyika katika Ukumbi
wa Mikutano wa Chuo Kikuu hicho Jijini  Dar es Salaam ambapo
 Mkuu wa  Chuo hicho Profesa Elfas Bisanda amewataka Vijana
nchini kufanya kazi kwa bidii na maarifa zaidi, kuliko kukaa vijiweni
wakipga soga nakujingiza katika ulevi wa madawa ya kulevya.



Alisema   Makubaliano hayo yamehusisha  IYF na Chuo hicho ambapo
Asasi hiyo itakuwa ikiwafundisha walimu wa chuo hicho elimu ya moyo
wakujitambua ijulikanayo kama badilisha mtazamo.

Lengo la elimu hiyo ambayo itaingizwa katika mitaala ya Chuo hicho
nikubadilisha mtazamo wa vijana kuhusu mambo mbali mbali yanayo
wahusu vijana hususani ajira.

Prof Bisanda amesema kuwa katika ufanyaji kazi wa pamoja watashirikiana
 zaidi katika malezi ya mtazamo wa vijana katika masuala ya kimataifa
nakuongeza kuwa somo hilo la moyo wa wazi litawajengea uwezo na uwelewa
 wakutosha wanafunzi.

“Kimsingi wanafunzi ,walimu na jamii itanufaika na elimu ya Badilisha
 fikra itakayotolewa na ndugu zetu kutoka Korea ya Kusini hivyo watanufaika
lakini wanafunzi zaidi watapanua wigo wa ajira kimataifa kuliko ilivyo sasa.

Hata hivyo amewaasa Vijana wakitanzania kujituma zaidi nakufanya kazi za
kujitolea ambazo badaye zitawafanya waajiriwe kutokana na soko la ajira
kuwa gumu ulimwenguni kwa nyakati hizi.

“Vijana wengi hawataki kujitolea au kufanya kazi kwakujituma wanapenda
kujiingiza katika makundi ya siyofaa ,rai yangu vijana wafanye kazi
kwakujitoa zaidi na mengineyo yatafuata.Alisema Prof Bisanada.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa IYF kutoka Makao Makuu ya Asasi hiyo yaliyopo
Korea ya Kusini Profesa Kim Seong Hun amesema kuwa kuingizwa kwa mtaala
wa badilisha fikra utakaofundishwa Chuoni hapo utakuwa na mchango mkubwa
sana kwa jamii kubwa nchini Tanzania.

“Nje ya kufundisha walimu na wanafunzi tunakuwa na makambi kila mwaka hapa
 nchini kwa wanafunzi na walimu wa sekondari na vyuo vikuu hivyo kuwajengea
 uwelewa wakukabiliana na changamoto mbali mbali.Alisema Prof Kim.

Prof Kim ameongeza kuwa,vijana watanzania wakutanishwa na vijana wengine
 kutoka nchi 86 Duniani huko Korea ya Kusini katika mkutano mkubwa ambao
hujadili changamoto zao bila kulipia chochote ambao hufanyika kila mwezi
 wa saba katika mwaka.Alisema Prof Kim.

Sanjari na hafla hiyo fupi ya utiaji saini hati ya makubaliano ambapo IYF
watatoa utaalamu wa ufundishaji na vifaa vyakufundishia ,wakati huo huo
walimu wakuu wa sekondari na msingi zaidi ya 600 kutoka shule mbali mbali
za Dar es Salaam walijengewa uwezo wa Badilisha fikra chuoni hapo.



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...