Skip to main content

CHUO Kikuu Huria kimesaini Makubaliano yanayo husisha Asasi isiyokuwa ya Kiserikali ya Kimataifa ya Ushirika wa Vijana(IYF)


CHUO Kikuu Huria cha Tanzania jana kimesaini Makubaliano yanayo husisha
Asasi isiyokuwa ya Kiserikali ya Kimataifa ya Ushirika wa Vijana(IYF)


Akizungumza wakati wa makubaliano hayo yaliyofanyika katika Ukumbi
wa Mikutano wa Chuo Kikuu hicho Jijini  Dar es Salaam ambapo
 Mkuu wa  Chuo hicho Profesa Elfas Bisanda amewataka Vijana
nchini kufanya kazi kwa bidii na maarifa zaidi, kuliko kukaa vijiweni
wakipga soga nakujingiza katika ulevi wa madawa ya kulevya.



Alisema   Makubaliano hayo yamehusisha  IYF na Chuo hicho ambapo
Asasi hiyo itakuwa ikiwafundisha walimu wa chuo hicho elimu ya moyo
wakujitambua ijulikanayo kama badilisha mtazamo.

Lengo la elimu hiyo ambayo itaingizwa katika mitaala ya Chuo hicho
nikubadilisha mtazamo wa vijana kuhusu mambo mbali mbali yanayo
wahusu vijana hususani ajira.

Prof Bisanda amesema kuwa katika ufanyaji kazi wa pamoja watashirikiana
 zaidi katika malezi ya mtazamo wa vijana katika masuala ya kimataifa
nakuongeza kuwa somo hilo la moyo wa wazi litawajengea uwezo na uwelewa
 wakutosha wanafunzi.

“Kimsingi wanafunzi ,walimu na jamii itanufaika na elimu ya Badilisha
 fikra itakayotolewa na ndugu zetu kutoka Korea ya Kusini hivyo watanufaika
lakini wanafunzi zaidi watapanua wigo wa ajira kimataifa kuliko ilivyo sasa.

Hata hivyo amewaasa Vijana wakitanzania kujituma zaidi nakufanya kazi za
kujitolea ambazo badaye zitawafanya waajiriwe kutokana na soko la ajira
kuwa gumu ulimwenguni kwa nyakati hizi.

“Vijana wengi hawataki kujitolea au kufanya kazi kwakujituma wanapenda
kujiingiza katika makundi ya siyofaa ,rai yangu vijana wafanye kazi
kwakujitoa zaidi na mengineyo yatafuata.Alisema Prof Bisanada.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa IYF kutoka Makao Makuu ya Asasi hiyo yaliyopo
Korea ya Kusini Profesa Kim Seong Hun amesema kuwa kuingizwa kwa mtaala
wa badilisha fikra utakaofundishwa Chuoni hapo utakuwa na mchango mkubwa
sana kwa jamii kubwa nchini Tanzania.

“Nje ya kufundisha walimu na wanafunzi tunakuwa na makambi kila mwaka hapa
 nchini kwa wanafunzi na walimu wa sekondari na vyuo vikuu hivyo kuwajengea
 uwelewa wakukabiliana na changamoto mbali mbali.Alisema Prof Kim.

Prof Kim ameongeza kuwa,vijana watanzania wakutanishwa na vijana wengine
 kutoka nchi 86 Duniani huko Korea ya Kusini katika mkutano mkubwa ambao
hujadili changamoto zao bila kulipia chochote ambao hufanyika kila mwezi
 wa saba katika mwaka.Alisema Prof Kim.

Sanjari na hafla hiyo fupi ya utiaji saini hati ya makubaliano ambapo IYF
watatoa utaalamu wa ufundishaji na vifaa vyakufundishia ,wakati huo huo
walimu wakuu wa sekondari na msingi zaidi ya 600 kutoka shule mbali mbali
za Dar es Salaam walijengewa uwezo wa Badilisha fikra chuoni hapo.



Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.