Skip to main content

Rais Mwinyi kumbe ni dam dam na Msimbazi!!


Simba imecheza na Gendarmarie mechi ya awali ya Kombe la Shirikisho na kushinda mabao 4-0, lakini katika kipindi chote cha mchezo, yapo mambo matano muhimu unatakiwa kuyajua.


Rais Mwinyi awa kivutio

Awali, haikufahamika wazi kwamba Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ni shabiki wa Simba lakini katika mchezo wa Simba na Gendarmarie ni kama ilijidhihirisha wazi kwamba yuko upande  huo wa Msimbazi.

Na hii ni baada ya kualikwa kuwa mgeni rasmi wa mchezo baada ya kuwa kimpya kwa kipindi kirefu  na ndani ya suti yake, alikuwa amevalia tisheti nyeupe yenye ufito mwekundu inayofanana kabisa na zile jezi za Simba.

Kichuya kuvaa hereni

Haijawahi kutokea au kama iliwahi kuonekana ni mara chache kwani mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya aliingia kucheza mchezo huo akiwa amevalia urembo masikioni.

Kichuya alivaa urembo huo unaofanana kabisa na hereni zile zinazovaliwa masikioni na wanawake na baadhi ya wanaume na yeye alibandika katika masikio yake yote mawili.

Walijidondosha sana

Licha ya Gendarmarie kuchapwa mabao manne kama si kujidondosha, huenda wangechapwa zaidi ya hayo au wao wangepata ya kufutia machozi.

Wachezaji wa kikosi hicho walikuwa kivutio kutokana na kitendo chao cha kujidondosha mara kwa mara na kusababisha mpira usimame kila baada ya dakika chache.

Hata hivyo, staili hiyo huenda walifikiri ni janja yao ya kupunguza idadi ya mabao kwani hata baada ya mchezo, kocha wao,

Mrundi Mvuyekure Issa aliweka wazi kuwa kabla ya kuanza mchezo walidhani wangepigwa mabao mengi zaidi ya hayo lakini kadri ya mchezo ulivyokwenda waliona tofauti.

Simba waanza na staili mpya

Kitaalamu timu zote zinatakiwa kila zinapomaliza kucheza mechi, zifanye mazoezi ya kutuliza misuli na sasa Simba imeanza staili hiyo ambayo wapinzani wao wa jadi Yanga walishaanza kitambo.

Simba waliitambulisha staili hiyo mara baada ya mchezo huo kumalizika ambapo walifanya mazoezi ya kukimbia kuuzunguka uwanja na baadaye walinyoosha misuli wakatoka.

Penalti ya Gendarmarie

 Tukio la penalti ambalo Gendarmarie lingewakomboa na kupata bao la kufutia machozi, lakini cha kushangaza, uwezo wa mlinda mlango wa Simba, Aishi Manula aliyekuwa amejaa golini, uliwafanya wakose penalti hiyo.

Aishi alipangua penalti ya Gendarmarie iliyopigwa na Houssein Megane  na kuwafanya watoke uwanjani hapo na kwenda kwao Djibouti watupu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...