Skip to main content

Wekundu wa msimbazi watua salama Shinyanga sasa ni kazi tu



KIKOSI cha Simba kimewasili salama mjini Shinyanga na jana jioni kimeendelea na programu yao ya mazoezi kama kawaida wakijiwinda na mchezo wao wa ligi kuu utakaochezwa Alhamisi dhidi ya Mwadui.


Msafara wa Simba ulisafiri kwa ndege ya Shirika la ATCL  alfajili ya leo Jumanne wakitokea Dar es Salaam.

Meneja wa kikosi hicho, Richard Robert amesema, timu imefika salama na maandalizi yao pamoja na mambo yote juu ya mchezo huo yanakwenda vizuri.

"Tunamshukuru Mungu tumefika salama hapa Shinyanga na jioni hii, tunatarajia kuendelea na programu yetu ya mazoezi kama kawaida kwa ajili ya maandalizi ya mechi yetu na Mwadui,"anasema Richard.

Simba ndiyo vinara wa ligi kuu, wanaongoza na pointi 41, wakifuatiwa na Yanga yenye 34, Azam watatu wana pointi 34, Singida United ya nne pointi 33 na Mtibwa Sugar wa tano na 27, watacheza mchezo huo Alhamisi na Ijumaa watarudi Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi mengine ya mechi yao ya kimataifa dhidi ya  Gendarmarie ya Djibouti.

Watakwenda Djibouti Jumapili tayari kwa mchezo huo ambao ni wa awali wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika siku ya Jumanne.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.