Skip to main content

UBER Nchini Yazindua Stika Mstahiki Meya wa jiji apongeza hatua hiyo



Teknolojia mpya ya huduma ya Usafiri kwa njia ya mdandao (UBER)
 ilizindua, uzinduzi wa Stika za magari kwa madereva wanao tumia
kusafirisha abiria .
http://www.thecitizen.co.tz/image/view/-/3251792/medRes/1355144/-/26glyn/-/uber+tach.jpg

Kutokana na harakati hizo za kutumia usafiri huo, jiji
la Dar es Salaam limetajwa kuwa limetangulia kuwa mstali
wa mbele kwa haraka kutokana na ubunifu huo wa mfumo
wa kisasa.

Hayo yalisemwa  jijini hapa juzi na meneja wa UBER nchini 
Alfred Msemo katika mazungumzo na waandishi wa habari yaliyofanyika 
katika hotel ya Serena .

Alfred alisema Dar es Salaam ni kivutio kikubwa cha utalii,
nakuwa wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu na Mstahiki Meya
wa jiji.

"Sasa halmashauri ya jiji hili itawataka madereva wanaotumia
programu ya UBER kulipa Shilingi elfu 80,000 kabla ya kupewa
Stika ambapo Stika hiyo itadumu kwa muda wa mwaka mmoja,"alisema
Alfred.


Alfred Meneja huyo alisema hiyo ni hatua muhimu na ni ushahidi wa 
juhudi zinazofanywa na UBER katika kushirikiana  na halmashauri
za miji mbali mbali katika mchakato wa kuunda sera zinazo walenga
madereva wa UBER.

Kwa upande wa Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita
aliipongeza  kampuni ya UBER aliipongeza kampini hiyo wakati
wa uzinduzi huo.

"Zaidi ya watu 1ooo wamepata ajira mpya ya kutengeneza  pesa
huku watu zaidi ya elfu kumi (10), wakitumia usafiri huo kwenye
mizunguko yao,"alisema Isaya.

Alisema kwa sasa watu wameshuhudia  teknolojia  hiyo ya UBER
kwani tayari imeleta mafanikio makubwa hususani  kwenye
suala zima la usalama.kuvutia watalii, pamoja na kupunguza 
foleni  za msongamano bara barani.

Vile vile Meya Isaya alisema  jiji la Dar es Salaam ni mji unao
fikiria kwenda mbele zaidi na kwenda na wakati  na ndio maana
wameonesha  kuwa wapo tayari kuwa na aina mpya ya biashara kama
UBER nakuwa Madereva wote wanaoitajika kutoa huduma hiyo,wataitajika  
kuwa na stika  kutoka jiji la Dar es Salaam.

Naye Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama  Barabarani nchini 
SACP.Fortunatus Musilimu alisema Jeshi la Polisi litashirikiana
na Kampuni ya UBER nchini kupitia madereva wao kupata taarifa
za uhalifu na wahalifu na kuzifanyia Uchunguzi kwani madereva hao
muda mwingi wapo barabarani.


SACP.Fortunatus alisema kuwa UBER kuwa ni kama wadau wengine weledi 
katika kuzuia ajali za barabarani,uhalifu na waalifu.

"Kupitia Stika hizo, zinazozinduliwaleo (juzi) tutaweza kujua magari
yanayofanya biashara kwa kutumia teknolojia  na kutumia teknolojia
hiyo katika upelelezi wa matukio ya ajali na uhalifu,"alisema SACP.
Fortunatus.


Tayari Kamanda huyo wa Polisi  ametaja kuwa kufikia mwaka 2017 UBER 
imetoa jumla ya ajira 6,000 za madereva  ambapo jumla ya wateja 28,000
wamepata huduma nzuri kwa njia ya mtandao (APPS) na jumla ya wateja kutoka
mataifa mbali mbali .










Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...