Skip to main content

IYF: Imezindua mpango wa ajira kwa vijana nje ya nchi


Taasisi  isiyokuwa ya Kiserikali ya Kimataifa ya Ushirika wa Vijana(IYF) ,imezindua mpango wa ajira kwa vijana nje ya nchi.Uzinduzi huo wenye kauli mbiu Najivunia Tanzania umezinduliwa jana  Jijini Dar es Salaam.


Hayo yamesemwa  wakati wa uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa Nkuruma uliopo  Chuo Kikuu cha Dare es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa IYF Chung  Yang alisema lengo la mpango huo nikuunga mkono Serikali katika jitihada za kupambana na tatizo la ajira
“Hakuna asiyejua kuwa kuwa kuna shida ya ajira ,Serikali ilikuwa ikiomba sekta binafsi kuibua ajira kwa kwa vijana na sisi  tumeamua kuja na mpango huu wa ajira ya kujitolea nje ya nchi ambapo watapata uzoefu katika anga za kimataifa na uzoefu .Alisema Yang.
Yang amesema wameichagua Tanzania kutokana na ukweli usiopingika kuwa vijana wengi wakitanzania ni waadirifu na wapo tayali kujitoa hivyo wameona ni vema kuwekeza nguvu zaidi Tanzania kuliko nchi nyingine.

Pichani ni Mkuu wa IYF Chung  Yang akielezea wadau waliojitokeza katika ukumbi huo Nkuruma uliopo  Chuo Kikuu cha Dare es Salaam leo. 

Vijana hao wanaotarajiwa kwenda kufanya kazi katika nchi mbali mbali idadi yao itajulikana hivi karibuni kulingana na uhitaji wa chi husika.Vijana hao watapatiwa hati ya kusafiria,Visa,na watalipiwa usafiri nakugharamiwa mahitaji yote ya msingi kama chakula malazi, na mahitaji mengine na pesa za kujikimu wawapo nchi za nje.


Kulia ni Yang akiwa na Seong Hun Kim katika mazungumzo na wanahabari Nkuruma Hall.

Kwa mujibu wa Yang nchi kati ya 25 hadi 30 zimeonesha utayali wakuchukuwa Vijana wakitanznia kufanya kazi katika nchi mbalimbali kati ya nchi 86 ambapo IYF ina hudumu.

Kipepe rushi kilichokuwa kiki muonesha kijana wa kitanzania Velence Mkulu.


Kijana Velence Mkulu akizungumza na wanahabari leo



Kwa upande wake Mshauri wa Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Paulina Mabuga ,alisema kuwa mpango huo ni mzuri na kwa chuo Kikuu Cha Dar es Salaam umekuja wakati muafaka ,wakati ambao wahitimu wengi hawana ajira.

“Kwetu sisi ni faraja kubwa ,madhumuni ya chuo ni kuandaa wahitimu wanaolitumikia Taifa na Dunia haipendezi kuona vijana wengi hawana ajira,Hata hivyo UDSM tuna mpango kama huo ambapo tunawabakisha wanafunzi kwa ajiri ya kuwaelekeza wenzao hususani mwaka wakwanza na badaye huajiriwa.Alisema Paulina.

Mwazani Ramadhani ni miongoni mwa wanufaika wa mpango wakujitolea nje ya nchi ambapo alifanya kazi Kenya kwa miezi 3 na Korea  ya Kusini  miezi 6 anaeleza ni jinsi gani mpango huo umewasaidia.
“Kutokana na soko la ajira kuwa tete mpango huu ni mkombozi kwanza umenipatia uzoefu wa kimataifa lakini umeniongezea wigo mkubwa na ufanisi katika kazi mbali mbali ikizingatiwa wenzetu wapo mbali kimaendeleo hata kitekinolojia.

Mwazani ameongeza kuwa watu wanakuwa na mitazamo hasi kuhusu watu weupe(watu wa ughaibuni)hususani kaitika suala la ubaguzi wa rangi kwa Korea ya Kusini haikuwa hivyo wanawapenda sana waafrika.
Kwa upande wake Valence Maluku mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia Cha Dar es Salaam ni miongoni mwa wanufaika aliyefanya kazi Uruguai kwa mwaka mmoja anasema pamoja na kwamba nchi za Amerika ya Kusini zina ubaguzi mkubwa wa rangi lakini yeye ameshinda vita kutokana na Taasi ya IYF kuwalea vizuri hivyo hakupata shida yoyote.

“Nilikuwa nikitoa elimu kuhusu athari zitokanazo na madawa ya kulevya kwa kiasi Fulani nilifaidika ikiwemo kujifunza kispaniola na kiruguai lakini nmesafiri nchi kadhaa kama Marekani,Agentina na Brazili katika mikutano mbali mbali.Alisema Maluku
Wanufaika hao wote kwa pamoja wanazungumzia changamoto ya lugha kuwa shariti ujifunze lugha na huwalazimu kujifunza kati ya miezi mitatu hadi sita ndipo unapoelewa kwa ufasaha.
Kuhusu suala la usalama wao wamekiri kuwa hawakuwa na shida ya tatatizo la usalama kwakuwa walikuwa chini ya usimamizi mzuri na Salama.

Sifa zinazohitajika ni kijana yeyote wakitanzania kuanzia miaka 18 hadi 35 ,ambapo hupatiwa mafunzo katika makambi mbali mbali nchini ,chini ya IYF na huwa na hiari yakuchagua nchi waipendayo.
IYF hufanya kazi kwa ukaribu na ofisi ya Waziri Mkuu,Wizara ya Mambo ya ndani,Wizara Ushirikiano wa Kimataifa Kikanda na  Wizara ya Tamisemi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.