Skip to main content

Soma Jinsi Kikosi cha Jurgen Klopp kilivyoipata bao la mapema

Liverpool imeshindwa kulinda mara mbili uongozi wake katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Tottenhm na kuambulia sare ya 2-2.
Kikosi cha Jurgen Klopp kilipata bao la mapema kunako dakika ya tatu mfungaji akiwa ni Mohamed Salah.
Kwa muda wote wa kipindi cha kwanza Liverpool walicheza soka la kuonana na kama washambuliaji wake wangekuwa makini wangeweza kupata bao lingine.
Kipindi cha pili, kibao kikageuka ambapo Tottenham wakaweka kambi kwenye nusu ya Liverpool ambayo iliamua kupaki ‘treni’ ili kulinda bao lao kwenye uwanja wao wa nyumbani - Anfield.
Licha ya Liverpool kufanikiwa kulinda lango la kwa muda mrefu, lakini dakika ya 80 kiungo Victor Wanyama akafanikiwa kuizawazishia Tottenham kwa shuti kali la nje ya box la 18 baada ya piga nikupige.
Liverpool ikiwa inaendelea kucheza soka la kujihami ikajikuta inaruhusu penalti dakika ya 87 ambayo ilipigwa na Harry Kane lakini ikaokolewa na kipa Loris Karius.
Dakika ya kwanza katika nne za majeruhi, Liverpool wakafanikiwa kufunga bao la pili lililofungwa na Mohamed Salah baada ya shambulizi la kushitukiza.

Wakati Liverpool wakiamini wameshinda mchezo huo, Tottenham ambayo ilimiliki mpira kwa asilimia 66, ikasawazisha sekunde chache kabla ya filimbi ya mwisho kupitia penalti iliyopigwa tena na Harry Kane.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...