Skip to main content

Simba itamkosa nahodha wake John Bocco Djibout


VINARA wa soka Tanzania Bara, Simba wameondoka nchini jana jioni kwenda Djibouti, kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Gendarmerie Nationale utakaofanyika Februari 21.

Katika mchezo huo, Simba itamkosa nahodha wake John Bocco ambaye alifunga mabao mawili katika mchezo wa kwanza uliomalizika kwa ushindi wa 4-0, kutokana na majeraha ya kifundo cha mguu wa kushoto aliyoyapata kwenye mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Mwadui FC ambapo alishindwa kuendelea na mchezo na kutolewa nje.
Akizungumza na gazeti hili Kocha Mkuu wa timu hiyo, Pierre Lechantre, alisema pamoja na kumkosa Bocco, lakini ana matumaini makubwa ya ushindi kutokana na maandalizi waliyofanya pamoja na ari waliyokuwa nayo wachezaji wake.
"Maandalizi yamekamilika, tumejipanga kuhakikisha tunacheza kwa nguvu bila kujali kama tunaongoza kwa mabao manne najua mchezo utakuwa mgumu, lakini lazima tusonge mbele kutokana na ubora wa timu yangu,” alisema Lechantre.
Mfaransa huyo alisema amesafiri na kikosi cha wachezaji 19 wenye uhakika wa kucheza na wa 20 ni Bocco ambaye ameamua kwenda naye ili kuendelea kuangalia maendeleo yake kama anaweza kuwa fiti siku ya mchezo Jumatano.
Kocha huyo ambaye amekabidhiwa kikosi cha Simba siku chache zilizopita ameoneshwa kudhamiria ushindi kutokana na ahadi ambayo ameitoa kwa viongozi na mashabiki wa timu hiyo siku aliposaini mkataba wa kuifundisha timu hiyo.
Simba itashuka kwenye dimba la Stade du Ville, ambalo linabeba watazamaji 40,000 na kocha huyo amepanga kuwaanzisha washambuliaji wake wote wawili Emmanuel Okwi na Nicholaus Gyan baada ya Laudit Mavugo kubaki Dar es Salaam kutokana na kuwa majeruhi.
Wachezaji waliosafiri na kikosi cha Simba Makipa ni Aishi Salum Manula na Emanuel Elias Mseja. Mabeki Mohamed Hussein, Erasto Edward Nyoni, Shomari Kapombe, Ally Shomary, Yusufu Mlipili, Murshid Juuko na Kwasi Asante.
Viungo ni Mzamiru Yassin, Bukaba Paul, Shiza Kichuya, James Kotei, Mwinyi Kazimoto, Said Ndemla, na Jonas Mkude.
Washambuliaji ni Emmanuel Okwi, Moses Kitandu, Nicholas Gyan na John Raphael Bocco.
Simba inahitaji sare au ushindi ili kusonga mbele raundi ya kwanza ya michuano hiyo, ambapo huenda ikakutana na Al Maasry ya Misri baada ya timu hiyo kupata ushindi wa mabao 4-0, dhidi ya Green Buffalo ya Zambia kwenye mchezo wa kwanza.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...