Skip to main content

Zaidi Ya Nyumba 50 Zaezuliwa Na Kimbunga


                                        Paa la nyumba lililoezuliwa

 Mkuu wa Wilaya ya Iringa Letisia Warioba akikabidhi mifuko ya unga wa ugali, kama ni moja ya msaada kwa waathirika wa mvua hizo.
 Meneja wa Tanesco moa wa Iringa Donart Makingi akipita kati ya nguzo zilizodondoshwa na mvua za upepo, katika eneo la Migori.
NA: OLIVER RICHARD - IRINGA
MVUA kubwa zilizoambatana na upepo mkali, zimevunja nyumba zaidi ya 50 na kuezua paa katika Kata ya Migoli na Nyang’olo, katika Tarafa ya Isimani Wilaya ya Iringa, na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi.
Wakizungumzia tukio hilo, wananchi walisema mvua hiyo ilianza kunyesha majira ya saa kumi jioni, ambapo baadhi yao walikuwa katika mkutano wa mkuu wa mkoa, ambapo mvua hiyo pia ilisambaratisha mkutano huo.
Maneno Kalinga mkazi wa Nyang’olo alisema mvua hizo ziliambatana na upepo mkali na hivyo kuezua paa la nyumba yake yote, na kudondosha kuta mbili za nyumba yake, huku watoto waliokuwemo ndani ya nyumba wakipata madhara.
Kalinga alisema kijana wake aitwaye Fadhili kalinga aliyekuwa amelala nadani ya nyumba hiyo, aliangukiwa na ukuta na kuumizwa maeneo ya mgongo na kumsaidia kumuondoa katika kifusi na kumuwahisha katika Zahanati ya Nyang’olo.
“Baada ya kupiga kelele majira walikuja kumusaidia kijana wangu, na walipofanikiwa kumtoa katika kifusi, tulimpeleka Zahanati kwa ajili ya kupata matibabu, na hasara nyingine nilizozipata ni kubwa kwani vitu vyote vimelowa na kuharibika, “ Alisema Kalinga.
Estwina Ngobola mkazi wa Migori alisema mali zake ziliharibiwa ikiwemo mifuko ya Sukari kilo 25, unga wa ugali, unga wa ngano, godolo, huku vitanda na kochi vikivunjika baada ya kuangukiwa na tofali
Alisema “Niliingia chumbani ili nifunge dirisha upepo usiingie, kwani mvua ilikuwa na upepo, nikawa ninahofu mji yataingilia dirishani, lakini nilipotaka kufunga dirisha ulikuja upepo mkali nikaona nyumba inatikisika, nikakimbilia nje na baadaye paa lote likatolewa na kutupwa pale, kuta zikadondoka, kama unavyoona hivi,” Alisema Estwina.
Estwina alisema kutokana na hali hiyo ameomba majirani wamuhifadhie vitu vyake, huku yeye akiwa anaishi katika nyumba ya wageni, licha ya kutokuwa na fedha ya kulipa kwani hana ndugu katika mkoa wa Iringa, kwani yeye ni mwenyeji wa Mbeya. 
Lucia Magidanga (98) mkazi wa Migori alisema hana mahala pa kuishi baada ya nyumba yake kuezuliwa, huku akiwa hana msaada wowote wa kufanya ukatrabati wa nyumba yake, kutokana na watoto wake wote kufariki.
Naye Mwajuma Nzalamalenga alisema hasara aliyoipata kutokana na janga hilo ni kubwa kwani mali zake zote zimeharibiwa vibaya, yakiwemo Magodoro, unga, Sukari, Maharage, na nyumba ya mma yake ikiwa imeezuliwa yote.
Mwajuama alisema hana mahala pa kuishi yeye na afamilia yake, na hata mvua ikianza tena kunyesha haelewi hali halisi itakuwaje.
Aidha mvua hizo pia zimeangusha nguzo 19 za Tanesco na hivyo eneo hilo kukosa nishati ya umeme, ambapo meneja wa Tanesco mkoa wa Iringa Injinia Donart Makingi alisema eneo hilo halina umeme kutokana na kuanguka kwa nguzo hizo.
Injinia Makingi alisema tayari wanapeleka nguzo za umeme ili kurejesha nishati hiyo na kuwa bado hajapata thamani halisi ya hasara itokanayo na janga hilo la mvua zilizoambatana na upepo mkali.
Hatua hiyo iliulazimu uongozi wa Mkoa kufika katika eneo la tukio kufanya tathimini ya uharibifu uliotokea, huku waathjirika wakipatiwa baadhi ya misaada ya chakula ili kuwasaidia wananchi hao.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Pudensiana Kisaka alisema wanafanya tathmini ili kutambua kiwango cha hasara kilichopatikana kwa lengo la kuwasaidia wananchi hao, huku akikabidhi Unga kilo 750 na Maharage kilo 300 kwa waathirika.
Kisaka aliwata wananchi hao kupanda miti kwa kiasi kikubwa msimu huu wa mvua ili kuepukana na upepo mkali unaosababisha madhara makubwa kama ya kuezuliwa nyumba zao na kupata hasara.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Letisia Warioba alisema mkoa kupitia mfuko wa maafa imeunda kamati ya muda ya kutathimini madhara hayo ili kuweza kuwafidia wananchi waliokumbwa na janga.Source Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...