Skip to main content

Ufaransa yakataa kumsaidia Rais Bozize


Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Francois Bozize.Ufaransa imekataa ombi la rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Francois Bozize kusaidia kuwarudisha nyuma waasi wanaotishia kuiangusha serikali yake, huku Marekani ikiamua kufunga ubalozi wake nchini humo.
Wasiwasi umezidi kutanda nchini humo wakati muungano wa waasi hao unaojulikana kama Seleka ukizidi kusonga mbele kuelekea mji mkuu Bangui, kwa madai kuwa serikali imekiuka makubaliano ya amani yaliyosainiwa mwaka 2007. Lakini rais Francois Hollande wa Ufaransa amekataa ombi la rais Francois Bozize akisema kuwa muda wa kufanya hivyo ulikwisha.
Marekani yaamua kufunga ubalozi wake
Marekani kwa upande wake imetangaza jana Alhamisi kuwa inasitisha shughuli zote katika ubalozi wake mjini Bangui, na kwamba balozi wake na wafanyakazi wengine wa ubalozi huo walikuwa wameondoka nchini humo. 
Msemaji wa wizara ya mambo ya kigeni ya Marekani, Patrick Ventrell, alisema uamuzi huo ulichukuliwa kwa kuhofia usalama wa wafanyakazi hao, na kwamba hatua hiyo haihusiani kwa namna yoyote ile na uhusiano wa muda mrefu wa kidiplomasia baina ya mataifa hayo mawili. Marekani pia iliwatahadharisha raia wake dhidi ya kusafiri kwenda Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Hayo yanajiri wakati viongozi wa kanda hiyo wakijaribu kuratibu makubaliano ya kusitisha mapigano na waasi walikuwa wamesema wamesimamisha kwa muda, operesheni kuelekea mji mkuu, ili kuruhusu mazungumzo kufanyika. Waasi hao wanataka serikali itekeleze makubaliano ya kuwatawanya na kuwaingiza katika maisha ya kiraia.
"Wapiganaji wanataka pesa walizoahidiwa ili kuweza kujiunga na jamii ya kiraia, programu ya kuwatawanya ilihusu kuwanyang'anya silaha wapiganaji lakini yote hayo hayakutekelezwa na ndiyo matatizo makubwa. 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...