Skip to main content

Nairobi kuweka kamera ili kuzuwia uhalifu na kudhibiti usalama barabarani


Na Rajab Ramah, Nairobi
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi Nancy Omala anakumbuka kwa uchungu wakati wezi walipompora kompyuta yake ya mkononi wakati akitoka duka la kahawa katika Wilaya ya Kati ya Biashara jijini Nairobi.
Wakaazi wa kitongoji cha Eastleigh mjini Nairobi wakitembea katika wilaya ya biashara. Karibuni Nairobi itakuwa na kamera za ulinzi ili kuzuwia uhalifu na kusaidia katika uchunguzi wa polisi. [Na Simon Maina/AFP]
Omala, mwenye umri wa miaka 25, alikuwa ndio kwanza amemaliza kufanya masawazisho ya mwisho ya kazi yake ya shule na alikuwa karibu aiwasilishe ili aweze kuhitimu.
"Kwa bahati mbaya, sikuwa na kopi ya akiba ya kazi hiyo", aliiambia Sabahi. "Wezi walinipora maisha yangu na ilikuwa pigo kwa kazi yangu." Alisema kuwa wezi wamemfanya asiweze kuhitimu mwezi wa Agosti iliyopita, kwa hivyo ilibidi aanze tena kazi yake ili aweze kuhitimu mwakani.
"Nyuso zao bado zimo katika akili yangu," alisema. "Nilielezea wasifu kwa polisi, lakini ni vigumu kuweza kuwapata. Hata kama polisi wangewapata, bado ni vigumu kuthibitisha kuwa walikuwa wao kwa sababu hakukuwa na shahidi wengine."
Maafisa wanatumai kuwa hadithi kama ya Omala zitapungua sana kutokana na kuwekwa kwa kamera za ulinzi 41 katika maeneo yenye uhalifu mwingi jijini.
"Tulizitambua sehemu za mwanzo kuwekwa kwa kamera kuwa maeneo ya uhalifu," Waziri wa Mji Mkuu Nairobi Jamleck Kamau aliiambia Sabahi. "Polisi, wafanya biashara jijini na wananchi walitusaidia kutengeneza ramani ya maeneo haya."
Mradi huu umetoa kipaumbele kwa maeneo yenye msongamano mkubwa jijini, Kamau alisema, na maeneo yatakayofungwa kamera hizo ni pamoja na Kituo cha Mabasi Nchini cha Machakos, Soko la Muthurwa, Soko la Gikomba, Hospitali ya Taifa ya Kenyatta, Barabara ya Kirinyaga katikati ya mji wa Nairobi na eneo lote la Wilaya ya Kati ya Biashara.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.