Skip to main content

Nairobi kuweka kamera ili kuzuwia uhalifu na kudhibiti usalama barabarani


Na Rajab Ramah, Nairobi
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi Nancy Omala anakumbuka kwa uchungu wakati wezi walipompora kompyuta yake ya mkononi wakati akitoka duka la kahawa katika Wilaya ya Kati ya Biashara jijini Nairobi.
Wakaazi wa kitongoji cha Eastleigh mjini Nairobi wakitembea katika wilaya ya biashara. Karibuni Nairobi itakuwa na kamera za ulinzi ili kuzuwia uhalifu na kusaidia katika uchunguzi wa polisi. [Na Simon Maina/AFP]
Omala, mwenye umri wa miaka 25, alikuwa ndio kwanza amemaliza kufanya masawazisho ya mwisho ya kazi yake ya shule na alikuwa karibu aiwasilishe ili aweze kuhitimu.
"Kwa bahati mbaya, sikuwa na kopi ya akiba ya kazi hiyo", aliiambia Sabahi. "Wezi walinipora maisha yangu na ilikuwa pigo kwa kazi yangu." Alisema kuwa wezi wamemfanya asiweze kuhitimu mwezi wa Agosti iliyopita, kwa hivyo ilibidi aanze tena kazi yake ili aweze kuhitimu mwakani.
"Nyuso zao bado zimo katika akili yangu," alisema. "Nilielezea wasifu kwa polisi, lakini ni vigumu kuweza kuwapata. Hata kama polisi wangewapata, bado ni vigumu kuthibitisha kuwa walikuwa wao kwa sababu hakukuwa na shahidi wengine."
Maafisa wanatumai kuwa hadithi kama ya Omala zitapungua sana kutokana na kuwekwa kwa kamera za ulinzi 41 katika maeneo yenye uhalifu mwingi jijini.
"Tulizitambua sehemu za mwanzo kuwekwa kwa kamera kuwa maeneo ya uhalifu," Waziri wa Mji Mkuu Nairobi Jamleck Kamau aliiambia Sabahi. "Polisi, wafanya biashara jijini na wananchi walitusaidia kutengeneza ramani ya maeneo haya."
Mradi huu umetoa kipaumbele kwa maeneo yenye msongamano mkubwa jijini, Kamau alisema, na maeneo yatakayofungwa kamera hizo ni pamoja na Kituo cha Mabasi Nchini cha Machakos, Soko la Muthurwa, Soko la Gikomba, Hospitali ya Taifa ya Kenyatta, Barabara ya Kirinyaga katikati ya mji wa Nairobi na eneo lote la Wilaya ya Kati ya Biashara.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...