Skip to main content

Balotelli kupinga uamuzi wa Man City



Mario Balotelli
Mario Balotelli akipewa kadi nyekundu wakati wa mechi yao na Arsenal
Mshambulizi wa Manchester City Kutoka Italia, Mario Balotellu, atafika mbele ya kamati maalum ya shirikisho la mchezo wa soka nchini England siku ya Jumatano.
Balotelli anapinga uamuzi wa klabu yake ya Manchester City ya kumpiga faini ya mshahara wake wa wiki mbili kuhusiana na rekodi yake mbovu ya nidhamu.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, alikosa mechi 11 za ligi kuu na michuano ya ulaya msimu uliopita.
Balotelli alikata rufaa kuhusu aumuzi huo, lakini kamati huru ya wanachama wa bodi ya wakurugenzi wa klabu hiyo wakaifutilia mbali.
Balotteli anatarajiwa kufika mbele ya kikao hicho binfasi, pamoja na wakili wake kutoka Italia na mwakilishi mmoja wa chama cha wachezaji wa kulipwa, huku klabu ya manchester City ikialishwa na mawakili wake.

Je Balotelli anastahili faini hiyo?

David Bernstein
David Bernstein mwenyekiti wa FA
Faini hiyo ndicho kiwango cha juu zaidi kuambatana na kandarasi ya wachezaji, lakini klabu ya Manchester City imekataa kuzungumzia suala hilo na wanamatumaini makubwa kuwa jopo hilo litafutilia mbali, rufaa hiyo.
Ni nadra sana kuona masuala ya ndani kati ya vilabu na wachezaji wao yalifika mbele ya kamati hiyo maalum.
Chama cha wachezaji wa soka wa kulipwa PFA, kimekuwa kikitoa ushauri kwa Balotelli tangu mzozo huo kuanza na afisa wake mkuu mtendaji Gordon Taylor, ameiambia BBC kuwa ''Tunajaribu kadri ya uwezo wao kuzuia masuala kama hayo kufika mbele ya kamati hiyo ya FA, lakini kwa kuwa mchezaji huyo na klabu yake hawajaafikiana''.
Klabu hiyo ilianzisha uchunguzi kuhusiana na mchezaji huyo baada ya kupewa kadi nyekundu wakati wa mechi yao dhidi ya Arsenal Aprili mwaka huu.
Kwa ujumla, Belotelli amepewa kadi za njano tisa na tatu nyekundu.
Balotelli aliondolewa katika kipindi cha pili wakati wa mechi yao dhidi ya Manchester United ambapo walishindwa kwa magoli 3-2 tarehe 9 mwezi huu, na kisha kuachwa nje ya kikosi cha mabingwa hao watetezi wakati wa mechi yao dhidi ya Newcastle ambayo walishinda kwa magoli 3-1.BBC.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.