Skip to main content

Balotelli kupinga uamuzi wa Man City



Mario Balotelli
Mario Balotelli akipewa kadi nyekundu wakati wa mechi yao na Arsenal
Mshambulizi wa Manchester City Kutoka Italia, Mario Balotellu, atafika mbele ya kamati maalum ya shirikisho la mchezo wa soka nchini England siku ya Jumatano.
Balotelli anapinga uamuzi wa klabu yake ya Manchester City ya kumpiga faini ya mshahara wake wa wiki mbili kuhusiana na rekodi yake mbovu ya nidhamu.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, alikosa mechi 11 za ligi kuu na michuano ya ulaya msimu uliopita.
Balotelli alikata rufaa kuhusu aumuzi huo, lakini kamati huru ya wanachama wa bodi ya wakurugenzi wa klabu hiyo wakaifutilia mbali.
Balotteli anatarajiwa kufika mbele ya kikao hicho binfasi, pamoja na wakili wake kutoka Italia na mwakilishi mmoja wa chama cha wachezaji wa kulipwa, huku klabu ya manchester City ikialishwa na mawakili wake.

Je Balotelli anastahili faini hiyo?

David Bernstein
David Bernstein mwenyekiti wa FA
Faini hiyo ndicho kiwango cha juu zaidi kuambatana na kandarasi ya wachezaji, lakini klabu ya Manchester City imekataa kuzungumzia suala hilo na wanamatumaini makubwa kuwa jopo hilo litafutilia mbali, rufaa hiyo.
Ni nadra sana kuona masuala ya ndani kati ya vilabu na wachezaji wao yalifika mbele ya kamati hiyo maalum.
Chama cha wachezaji wa soka wa kulipwa PFA, kimekuwa kikitoa ushauri kwa Balotelli tangu mzozo huo kuanza na afisa wake mkuu mtendaji Gordon Taylor, ameiambia BBC kuwa ''Tunajaribu kadri ya uwezo wao kuzuia masuala kama hayo kufika mbele ya kamati hiyo ya FA, lakini kwa kuwa mchezaji huyo na klabu yake hawajaafikiana''.
Klabu hiyo ilianzisha uchunguzi kuhusiana na mchezaji huyo baada ya kupewa kadi nyekundu wakati wa mechi yao dhidi ya Arsenal Aprili mwaka huu.
Kwa ujumla, Belotelli amepewa kadi za njano tisa na tatu nyekundu.
Balotelli aliondolewa katika kipindi cha pili wakati wa mechi yao dhidi ya Manchester United ambapo walishindwa kwa magoli 3-2 tarehe 9 mwezi huu, na kisha kuachwa nje ya kikosi cha mabingwa hao watetezi wakati wa mechi yao dhidi ya Newcastle ambayo walishinda kwa magoli 3-1.BBC.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...