Skip to main content

Watu 4 wakamatwa Afrika Kusini-ANC



Wajumbe wa ANC
Wajumbe wa ANC wanaohudhuria mkutano wa chama
Njama ya kushambila mkutano wa wajumbe wakuu wa chama tawala nchini Afrika Kusini, cha African national Congress ANC, imetibuliwa.
Msemaji wa polisi nchini humo amethibitisha tukio hilo, na kusema kuwa washukiwa wanne wenye asili ya kizungu wenya itikadi za siasa kali wamekamatwa.
Rais Jacob Zuma, na maafisa wengine wakuu wa serikali na wa chama hicho wanaohudhuria mkutano huo unaoendelea Mangaung, wamepewa ulinzi mkali.
Viongozi wapya wa chama hicho wanatarajiwa kuchaguliwa na wajumbe hao.
Chama cha ANC, kimekuwa madarakani tangu kumalizika kwa utawala wa wazungu walio wachache mwaka wa 1994.
Msemaji wa polisi Phuti Setati, ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa washukiwa wanne ambao walikuwa wakipanga jinsi ya kuuweka bomu katika eneo la mkutano huo, unaofanyika katika chuo kikuu cha Free State iliyoko katika eneo la Mangaung.

Zuma kukabiliana na naibu wake

Mwandishi wa BBC Milton Nkosi, ambaye yuko katika eneo hilo anasema, hali ya ulinzi imeimarisha nje na ndani ya ukumbi wa mkutano huo.
Ameongeza kusema kuwa maafisa wa polisi wanayakagua magari yote na watu wanaoingia katika ukumbi huo kwa kutumia vifaa maalum na pia mbwa wa kunusa.
Rais Jacon Zuma
Rais Jacon Zuma na naibu wake

Rais Jacob Zuma aliufungua mkutano huo siku ya Jumapili na anawania muhula wa pili kuwa kiongozi wa chama cha ANC.
Hata hivyo Bwana Zuma, anakabiliwa na upinzani kutoka kwa naibu wake Kgalema Motlanthe.
Mmoja wa wafanyabiashara tajiri zaidi nchini Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, amemuunga mkono rais Zuma kwa kuwania kiti cha naibu kiongozi wa chama hicho.
Bwana Ramaphosa alikuwa miongoni mwa watu mashuhuri waliochangia pakubwa wakati wa mpito kutoka kwa utawala wa kizungu hadi kwa utawa wa Afrika walio wengi.
Katika hotuba yake ya ufunguzi, katika eneo hilo la Mangaung, ambako chama hicho kiliundwa karibu karne moja iliyopita, rais Zum,a alisema kuwa Afrika Kusini iko tayari kwa awamu ya pili, ambayo atahakikisha kuafikiwa na maendeleo ya kijamii na kiuchumu yatayaokuwa na manufaa kwa raia wa nchi hiyo.
Matokeo ya uchaguzi wa viongozi wakuu wa chama hicho yanatarajiwa baadaye wiki hii.BBC.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...