Skip to main content

Watu 4 wakamatwa Afrika Kusini-ANC



Wajumbe wa ANC
Wajumbe wa ANC wanaohudhuria mkutano wa chama
Njama ya kushambila mkutano wa wajumbe wakuu wa chama tawala nchini Afrika Kusini, cha African national Congress ANC, imetibuliwa.
Msemaji wa polisi nchini humo amethibitisha tukio hilo, na kusema kuwa washukiwa wanne wenye asili ya kizungu wenya itikadi za siasa kali wamekamatwa.
Rais Jacob Zuma, na maafisa wengine wakuu wa serikali na wa chama hicho wanaohudhuria mkutano huo unaoendelea Mangaung, wamepewa ulinzi mkali.
Viongozi wapya wa chama hicho wanatarajiwa kuchaguliwa na wajumbe hao.
Chama cha ANC, kimekuwa madarakani tangu kumalizika kwa utawala wa wazungu walio wachache mwaka wa 1994.
Msemaji wa polisi Phuti Setati, ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa washukiwa wanne ambao walikuwa wakipanga jinsi ya kuuweka bomu katika eneo la mkutano huo, unaofanyika katika chuo kikuu cha Free State iliyoko katika eneo la Mangaung.

Zuma kukabiliana na naibu wake

Mwandishi wa BBC Milton Nkosi, ambaye yuko katika eneo hilo anasema, hali ya ulinzi imeimarisha nje na ndani ya ukumbi wa mkutano huo.
Ameongeza kusema kuwa maafisa wa polisi wanayakagua magari yote na watu wanaoingia katika ukumbi huo kwa kutumia vifaa maalum na pia mbwa wa kunusa.
Rais Jacon Zuma
Rais Jacon Zuma na naibu wake

Rais Jacob Zuma aliufungua mkutano huo siku ya Jumapili na anawania muhula wa pili kuwa kiongozi wa chama cha ANC.
Hata hivyo Bwana Zuma, anakabiliwa na upinzani kutoka kwa naibu wake Kgalema Motlanthe.
Mmoja wa wafanyabiashara tajiri zaidi nchini Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, amemuunga mkono rais Zuma kwa kuwania kiti cha naibu kiongozi wa chama hicho.
Bwana Ramaphosa alikuwa miongoni mwa watu mashuhuri waliochangia pakubwa wakati wa mpito kutoka kwa utawala wa kizungu hadi kwa utawa wa Afrika walio wengi.
Katika hotuba yake ya ufunguzi, katika eneo hilo la Mangaung, ambako chama hicho kiliundwa karibu karne moja iliyopita, rais Zum,a alisema kuwa Afrika Kusini iko tayari kwa awamu ya pili, ambayo atahakikisha kuafikiwa na maendeleo ya kijamii na kiuchumu yatayaokuwa na manufaa kwa raia wa nchi hiyo.
Matokeo ya uchaguzi wa viongozi wakuu wa chama hicho yanatarajiwa baadaye wiki hii.BBC.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.