Dk. Mwakyembe Nimeona Kazi Yako Leo Jijini Mwanza
Gari moshi likikaribia kufika stesheni ya Mwanza![]() |
| Jengo la Shirika la Reli Mwanza |
![]() |
| Tangazo likionyesha kuanza kwa safari za gari moshi |
![]() |
| Abiria wakishuka baada ya gari moshi kufika steshen ya mwanza |
![]() |
| Raia wa kigeni nao walikuwa miongoni mwa abiria waliowasili na gari moshi |
![]() |
| Waandishi wa habari wakizungumza na naibu waziri wa uchukuzi Dk. Charles Tizeba. Kwa hisani ya www. Mjengwa. blogspot.com |








Comments