Skip to main content

MTIBWA SUGAR YAGOMA KUMREJESHA KADO KWA YANGA




UONGOZI wa klabu ya Mtibwa Sugar umeiwekea ngumu klabu ya Yanga kuhusiana na ombi la kurudishwa kipa wake, Shaaban Kado kwenye timu hiyo au kusajiliwa na timu ya Coastal Union.
Mratibu wa timu hiyo, Jamal Bayser alisema kuwa walipokea barua kutoka Yanga ikiwataka kumrejesha kipa wao huyo kwa vile amesajili kwa mkopo na wao kuweka ngumu kutokana na makubaliano yao kuhusiana na kipa huyo.
Bayser alisema kuwa wao walikubaliana na Yanga kumchukua Kado kwa msimu mmoja, na kushangazwa na hatua ya klabu hiyo ambayo ilibadili msimamo wake hasa baada ya kipa wao, Yaw Berko kutolewa kwa mkopo.
Alisema kuwa Yanga pia iliwataarifu kuhusiana na mpango wao wa kutaka kumpeleka Kado Coastal Union, lakini ikashindikana tena kwa kipengele kile kile cha mktaba wa awali.
“Kado atacheza Mtibwa Sugar mpaka mwisho wa msimu kama ilivyokuwa makubaliano yetu, hivyo hawezi kurejeaYanga wala kwenda Coastal Union,” alisema Bayser ambaye ameongeza nguvu timu yake kwa kumsajili mchezaji wa zamani wa Vital’O ya Burundi, Stanley Minzi na kumpandisha kinda wao, Rajab Zahir.
Alisema kuwa hata suala la Rashid Gumbo kuichezea timu hiyo kwa mkopo lilikuwa na utata na kuwaachia Yanga kumalizana kwanza na Gumbo. Alifafanua kuwa pamoja na vyombo vya habari kutangaza kuwa Gumbo yupo Mtibwa, ameamua kuweka wazi kuwa hawaja mpokea kiungo huyo.
Vile vile, African Lyon imekubali kuwapokea wachezaji watatu kutoka Yanga kwa ajili ya kuhimarisha kikosi chao. Wachezaji hao ni Ibrahim Job, Salum Telela na Idrisa Senga.
Katibu mkuu wa Africa Lyon, Brown Ernest alisema kuwa wamekubaliana na Yanga kuhusiana na kuwachukua wachezaji hao kwa mkopo na vile vile kuongeza wachezaji wengine, Yusuph Mgwao na Valentine Njaka, Mcameroon aliyekuwa anaichezea JKT Oljoro.
Wakati huo huo; Mabingwa wa soka wa Afrika Mashariki na Kati , Yanga wanatarajiwa kuondoka nchini, Desemba 28 kwenda Uturuki, kocha mkuu , Ernie Brandts amesema kuwa anashindwa kutangaza majina ya wachezaji kwa ajili ya safari hiyo imetokana na usiri mkubwa wa zoezi la usajili lililomalizika juzi saa 6.00 usiku.
Brandts amesema kuwa imemuwia vigumu sana kutangaza kikosi cha wachezaji kwani mikoba yote kuhusiana na usajili hasa wachezaji wanaotolewa kwa mkono anayo mwenyekiti wa Kamati ya Usajili na mashandano, Abdallah Bin Kleb.
Alisema kuwa mpaka sasa hakuwa anajua ni mchezaji gani atatolewa kwa mkopo zaidi ya usajili wa pacha wa Mbuyu Twite, Kabanga Twite, ambaye imetokana na mapendekezo yake ya kuhimarisha safu ya ushambuliaji wa timu hiyo.
“Ni vigumu kujua nani amesajiliwa kwa sasa, hii inatokana na ukweli kuwa suala lote anafanya Abdallah, mimi najua usajili wa Kabanga tu, nani anatolewa kwa mkopo sijui mpaka sasa,” alisema Brandts.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...