Skip to main content

Mh.Filikunjombe (MB) Atembelea Hospitali Siku Ya Krismass


 Mbunge  wa  jimbo la Ludewa mkoani Njombe akiangua  kilio wakati akimsikiliza mtoto Diana  Haule (11) mkazi wa  Shauri moyo  wilaya ya Ludewa ambae amelazwa katika wodi namba  6 akitibiwa majeraha ya moto ambayo ameyapata baada ya  kuangukia motoni  kutokana na ugonjwa wa kifafa unaomsumbua
 Mbunge  Filikunjombe akitazama  mikoni ya mtoto Diana ambayo imeungua kwa moto kushoto ni mama mzazi wa mtoto huyo

Mbunge  wa  jimbo la Ludewa na familia  yake  wakiwajulia hali  wagonjwa kama ilivyoutaratibu  wake wa kila sikukuu kula na  wagonjwa wa zanahati na Hospitali mbali mbali  jimboni mwake .


Mbunge  wa  jimbo la Ludewa mkoani Njombe Deo Filikunjombe leo amejikuta  akibubujikwa na machozi baada ya  kutembelea  wodi la majeraha ya moto katika Hositali ya Misheni Rugalawa na kukutana na mtoto Diana Haule (11) mkazi  wa Shaurimoyo ambae ameungua kwa moto mwili wake na kuimbiwa wimbo maalum uliomfanya  kutokwa na machozi.

Mbunge  huyo akiwa na familia  yake ya   mke  na watoto  wawili pamoja na viongozi  wa CCM  wilaya ya Ludewa aliofika katika wodi namba  6 ambalo mtoto  huyo amelazwa aliokelewa kwa  wimbo maalum kutoka kwa mtoto  huyo ambao  ulikuwa  ukimsifia mbunge  huyo na wakati akiusikiliza na kumtazama mtoto huyo mbunge huyo alianza kutokwa na machozi na kulazimika  kuwaomba  watu  ambao alikuwa ameongozana nao  kutoka nje ya  chumba hicho na kumuacha yeye na mtoto  huyo na watu  wachache.

katika  wimbo  huo mtoto  huyo alikuwa akieleza  jinsi ambavyo ameshindwa  kuendelea na masomo  kutokana na tatizo na ugonjwa wa  kifafa  linalomsumbua na  Pamoja na kumpongeza mbunge kwa  kufika kumjulia ari.

Kutokana na wimbo  huo mbunge Filikunjombe alijikuta akiinamisha  kichwa   chini na kuanza  kutokwa na machozi huku akiendelea  kumsikiliza mtoto  huyo akiendelea  kuimba.

Hata  hivyo mbali ya  kueleza  kusikitishwa na tatizo la mtoto  huyo bado mbunge  huyo aliahidi  kuendelea  kumsaidia mtoto  huyo ikiwa ni Pamoja na  kuisaidia  Hositali  hiyo  zaidi .

Mtoto  huyo anadaiwa  kuungua kwa moto toka mwezi  wa 9 mwaka  huu  baada ya  kuangukia motoni wakati akiwa na mamake mdogo jikoni akiendelea  kuandaa chakula .

Wakati huo  huo  mbunge  Filikunjombe amekabidhi misaada mbali mbali katika  Hospitali  hiyo yakiwemo mashuka kwa wagonjwa  wodi  zaidi ya 80 na kandambili pamoja na  kutoka msaada wa chakula  vyote  vikiwa na thamani ya  zaidi ya shilingi milioni 2.Source Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.