Skip to main content

Mh.Filikunjombe (MB) Atembelea Hospitali Siku Ya Krismass


 Mbunge  wa  jimbo la Ludewa mkoani Njombe akiangua  kilio wakati akimsikiliza mtoto Diana  Haule (11) mkazi wa  Shauri moyo  wilaya ya Ludewa ambae amelazwa katika wodi namba  6 akitibiwa majeraha ya moto ambayo ameyapata baada ya  kuangukia motoni  kutokana na ugonjwa wa kifafa unaomsumbua
 Mbunge  Filikunjombe akitazama  mikoni ya mtoto Diana ambayo imeungua kwa moto kushoto ni mama mzazi wa mtoto huyo

Mbunge  wa  jimbo la Ludewa na familia  yake  wakiwajulia hali  wagonjwa kama ilivyoutaratibu  wake wa kila sikukuu kula na  wagonjwa wa zanahati na Hospitali mbali mbali  jimboni mwake .


Mbunge  wa  jimbo la Ludewa mkoani Njombe Deo Filikunjombe leo amejikuta  akibubujikwa na machozi baada ya  kutembelea  wodi la majeraha ya moto katika Hositali ya Misheni Rugalawa na kukutana na mtoto Diana Haule (11) mkazi  wa Shaurimoyo ambae ameungua kwa moto mwili wake na kuimbiwa wimbo maalum uliomfanya  kutokwa na machozi.

Mbunge  huyo akiwa na familia  yake ya   mke  na watoto  wawili pamoja na viongozi  wa CCM  wilaya ya Ludewa aliofika katika wodi namba  6 ambalo mtoto  huyo amelazwa aliokelewa kwa  wimbo maalum kutoka kwa mtoto  huyo ambao  ulikuwa  ukimsifia mbunge  huyo na wakati akiusikiliza na kumtazama mtoto huyo mbunge huyo alianza kutokwa na machozi na kulazimika  kuwaomba  watu  ambao alikuwa ameongozana nao  kutoka nje ya  chumba hicho na kumuacha yeye na mtoto  huyo na watu  wachache.

katika  wimbo  huo mtoto  huyo alikuwa akieleza  jinsi ambavyo ameshindwa  kuendelea na masomo  kutokana na tatizo na ugonjwa wa  kifafa  linalomsumbua na  Pamoja na kumpongeza mbunge kwa  kufika kumjulia ari.

Kutokana na wimbo  huo mbunge Filikunjombe alijikuta akiinamisha  kichwa   chini na kuanza  kutokwa na machozi huku akiendelea  kumsikiliza mtoto  huyo akiendelea  kuimba.

Hata  hivyo mbali ya  kueleza  kusikitishwa na tatizo la mtoto  huyo bado mbunge  huyo aliahidi  kuendelea  kumsaidia mtoto  huyo ikiwa ni Pamoja na  kuisaidia  Hositali  hiyo  zaidi .

Mtoto  huyo anadaiwa  kuungua kwa moto toka mwezi  wa 9 mwaka  huu  baada ya  kuangukia motoni wakati akiwa na mamake mdogo jikoni akiendelea  kuandaa chakula .

Wakati huo  huo  mbunge  Filikunjombe amekabidhi misaada mbali mbali katika  Hospitali  hiyo yakiwemo mashuka kwa wagonjwa  wodi  zaidi ya 80 na kandambili pamoja na  kutoka msaada wa chakula  vyote  vikiwa na thamani ya  zaidi ya shilingi milioni 2.Source Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...