Skip to main content

Taswira nyingi za al-Shabaab nchini Kenya


Na Bosire Boniface, Garissa
Jamii ya Kisomali nchini Kenya imelaumiwa sana kwa mashambulizi ya al-Shabaab, lakini wachambuzi wa masuala ya usalama wanaonya kwamba kuwasingizia Wasomali kunaongeza hatari ya mashambulizi ya baadaye kwani wanamgambo wa jamii nyingine wanaweza kufanya shughuli zao za kigaidi bila kufahamika.
Raia wa Uswisi Magd Najjar (kulia) akifikishwa mahakamani mjini Nairobi kushitakiwa rasmi kwa kuwa na mafungamano na al-Shabaab. Najjar ni mmoja wa washukiwa wengi wa al-Shabaab wenye utaifa wa nchi mbalimbali wanaodhaniwa wapo Kenya. [Simon Maina/AFP]
Aden Duale, mbunge wa jimbo la Dujis, alisema Wakenya kwanza huwashuku watu kutoka jamii ya Kisomali popote panapofanywa mashambulizi nchini Kenya.
"Mashambulizi hayo kawaida huleta dhana potofu na kuyahusisha na jamii ya Kisomali, ingawa hakuna mtu aliyeandikwa usoni pake kwamba ni mwanachama (wa kundi la kigaidi). Kuwailenga jamii ya Kisomali ni kutafuta majina na chuki dhidi ya wageni," aliiambia Sabahi.
Katika miezi ya hivi karibuni, vikosi vya usalama vya Kenya vimejibu mashambulizi ya kigaidi kwa kuwasakama wakimbizi, ikiwemo kuwakamata kwa wingi watu wa jamii ya Kisomali. Wiki iliyopita, serikali ya Kenya ilitangaza kwamba wakimbizi nchini humo lazima warudi kwenye kambi, kwani usajili na huduma zitasitishwa mijini.
Siku ya Alhamisi (tarehe 20 Disemba), Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa liliitaka Kenya kujiepusha kuwalaumu wakimbizi kwa vitendo vya vurugu nchini humo.
Wakenya wana jukumu kubwa kwenye ugaidi
"Uwanachama wa al-Shabaab umevuka mipaka ya jamii ya Kisomali," alisema Meja Mstaafu wa Jeshi la Kenya Bashir Haji Abdullahi, ambaye anafanya kazi ya ushauri wa masuala ya usalama.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.