Skip to main content

Arsenal yaadhibiwa na Bradford

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema wachezaji wa klabu hiyo hawapaswi kuabika kufuatia kuondplewa kwao kwenye michuano ya kuwania kombe la ligi, na klabu ya Bradford inayoshiriki ligi daraja ya pili.
Arsenal iliondolewa kwenye mashindano hayo kwa kulazwa magoli 3-2 kupitia mikwaju ya penalti.
Baada ya dakika 90 za kawaida kumalizika katika uwanja wa Croal Windows, timu hizo mbili zilitoshana nguvu ya kufungana bao moja kwa moja.
Akiongea na waandishi wa habaro baada ya mechi hiyo Wenger alisema'' tulifanya kila kitu katika dakika mia moja ishirini za mechi hiyo, na bila shaka timu ya Bradford ilicheza mchezo mzuri na walistahili kushinda''
''Kwa kawaida ni jambo la aibu ikiwa hautacheza kadri ya uwezo wako, nafikiria wachezaji wangu wamehuzunishwa na matokeo hayo'' aliongeza Wenger.
Wenger alichagua kikosi kilichojumisha wachezaji wake bora wakati wa mechi hiyo, lakini hawakufanikiwa kuandikisha matokeo ya kuridhisha, na walihitaji bao dakika ya 88, bao lililofungwa na Thomas Vermaelen ili kulazimisha mechi hiyo kwenda katika muda wa ziada na hatimaye kuamiliwa kupitia mikwaju ya penalti.
Garry Thompson ndiye aliyeifungia Bradford bsao lake la kwaza katika kipindi cha kwanza.
Na kama desturi yake Wenger, alipuuzilia mbali shutuma dhidi ya wachezaji wake , ambao wameshinda mechi moja tu kati ya mechi sita walizocheza katika mashindano yote.Source. www.bbc.co.uk

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...