Skip to main content

Arsenal yaadhibiwa na Bradford

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema wachezaji wa klabu hiyo hawapaswi kuabika kufuatia kuondplewa kwao kwenye michuano ya kuwania kombe la ligi, na klabu ya Bradford inayoshiriki ligi daraja ya pili.
Arsenal iliondolewa kwenye mashindano hayo kwa kulazwa magoli 3-2 kupitia mikwaju ya penalti.
Baada ya dakika 90 za kawaida kumalizika katika uwanja wa Croal Windows, timu hizo mbili zilitoshana nguvu ya kufungana bao moja kwa moja.
Akiongea na waandishi wa habaro baada ya mechi hiyo Wenger alisema'' tulifanya kila kitu katika dakika mia moja ishirini za mechi hiyo, na bila shaka timu ya Bradford ilicheza mchezo mzuri na walistahili kushinda''
''Kwa kawaida ni jambo la aibu ikiwa hautacheza kadri ya uwezo wako, nafikiria wachezaji wangu wamehuzunishwa na matokeo hayo'' aliongeza Wenger.
Wenger alichagua kikosi kilichojumisha wachezaji wake bora wakati wa mechi hiyo, lakini hawakufanikiwa kuandikisha matokeo ya kuridhisha, na walihitaji bao dakika ya 88, bao lililofungwa na Thomas Vermaelen ili kulazimisha mechi hiyo kwenda katika muda wa ziada na hatimaye kuamiliwa kupitia mikwaju ya penalti.
Garry Thompson ndiye aliyeifungia Bradford bsao lake la kwaza katika kipindi cha kwanza.
Na kama desturi yake Wenger, alipuuzilia mbali shutuma dhidi ya wachezaji wake , ambao wameshinda mechi moja tu kati ya mechi sita walizocheza katika mashindano yote.Source. www.bbc.co.uk

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.