Skip to main content

Msome Jamaa Huyu!


Anaitwa  Mussa Yaguluva ni muigizaji na muongozaji wafilm za kibongo
napia ni muandishi wa mswaada (Script) wa film za kibongo.


picha alizo wahi kuziobngoza  na kuziandikaVituko (Comedy)AngelNako na Chalo Ikwizu.

Kwa sasa vile vivile ni muajiriwa kwenye kiwanda cha wana lamba lamba  ambacho mmiliki wake ni yule mwenye klabu ya Azam ya  Jijini Dar es Salaam .

Comments