Skip to main content

Obama awafariji wakaazi wa Newtown


US-Präsident Barack Obama spricht auf der Trauerfeier für die Opfer des Amoklaufs von Newtown (Foto: dpa)Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kutumia mamlaka yake yote kuhakikisha kuwa mikasa ya mauwaji yanayotokana na mashambulizi ya kiholela ya risasi haitokei tena.
Akizungumza katika mkesha wa maombolezii mjini Newtown ya watu 26 waliouawa katika shule moja ya msingi wakiwemo watoto 20, Obama amesema Marekani haifanyi vya kutosha katika kuwalinda watoto wake, na akaahidi kwamba katika wiki zijazo, ataanzisha juhudi za kupunguza mashambulizi kama hayo nchini humo.
Lazima kufanywe mabadiliko
Rais Obama amesema matukio ya mauwaji ya mashambulizi ya risasi hayawezi tena kuvumiliwa na ni lazima yafikie kikomo. Na kwa kutimiliza hilo, ni lazima pawepo mabadiliko. Rais huyo wa Marekani ameeleza mapenzi yake na maombi ya taifa kwa jumla kwa familia za wahanga wa mauwaji hayo, akisema Wamarekani wote wanasimama pamoja nao katika kuomboleza vifo hivi vya kikatili. 
Rais Obama ametoa wito wa dharura kwa Wamarekani kufanya kila wawezalo kuzuia kutokea tena mikasa isiyo na idadi ya ufyatuwaji risasi ambayo imeitia hofu nchi hiyo. Tangu kuchaguliwa kuwa rais, Obama ameshuhudia matukio manne makuu ya mauwaji ya kiholela kupitia risasi, lakini kumekuwa na visa vingine vidogo vilivyotokea katikati ya matukio hayo.
Hakuna sheria inayoweza kuangamiza maovu duniani 
Obama amekiri kwamba hakuna sheria yoyote inayoweza kutokomeza uovu duniani au kuzuia kila aina ya mauwaji katika jamii, lakini akadokeza kwamba atatafuta ufumbuzi wa suala hilo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.