Skip to main content

Dk Shein akutana na Balozi wa Ireland nchini


Na Rajab Mkasaba, Ikulu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Balozi wa Ireland nchini Tanzania Bi Fionnuala Gilsenan na kumueleza hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kuiamrisha sekta za maendeleo huku akiwataka waekezaji wa nchi hiyo kuja kuekeza Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkaribisha Balozi wa Ireland Nchini Tanzania Fionnuala Gilsenan,mara baada ya kuwasili Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kusalimiana na Rais jana.
Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu mjini Zanzibar, Dk. Shein alimueleza Balozi Gilsenan kuwa Zanzibar inawakaribisha waekezaji kutoka Ireland kuja kuenkeza katika sekta mbali mbali ikiwemo sekta utalii.
Alimueleza balozi huyo kuwa Zanzibar imepata mafanikio makubwa katika sekta ya utalii na ndo maana juhudi za makusudi zimekuwa zikichukuliwa na serikali anayoiongoza katika kuiimarisha sekta hiyo muhimu katika kuchangia pato la taifa.
Kwa upande wa sekta ya kilimo Dk. Shein alimueleza Balozi huyo kuwa, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imekusudia kuiamrisha Mapinduzi ya Kilimo kwa kutekeleza Sera na programu mbali mbali za kilimo.
Alimueleza kuwa lengo kuu la kuchukua hatua hiyo ni kuhakikisha wananchi wa Zanzibar pamoja na taifa kwa jumla wanakuwa na uhakika wa chakula wakati wote.
Aidha, Dk. Shein alimueleza Balozi huyo hatua zinazochukuliwa na serikali anayoiongoza katika kuimarisha sekta ya uvuvi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha uvuvi wa bahari kuu unatekelezwa kwa ufanisi mkubwa kutokana na tija yake kwa wavuvi na taifa kwa ujumla.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...